Recent content by cholloh1

  1. C

    Wanafunzi UDSM Kuanza Mgomo Na Maandamano Yasiyokoma - Jumatatu, Tarehe 5 May

    Hiyo imetulia kama walikubali na mkaingia nao mkataba BODI YA MIKOPO lazima hili liwahusu na walimalize wenyewe. Haiingii akili wakaka kimya muda wote bila ya kuwajulisha Wanafunzi kuwa nn kinaendelea. Feedback zingetoka mapema sidhani kama haya yote yangetokea. GOD bless liberity..forever.
  2. C

    Hivi Jackton Manyerere ni nani katika Idara Wanyamapori.?

    Hakika nimerejea tena wana jf...Mimi ndio mwenye mada dhidi ya MANYEREre na Idara Wanyamapori.! Kwa kifupi mm ni mjasiliamali mwenye hasira na uchungu wa rasilimali za Taifa. Kazi nyingi za Mwandishi MANYEREre ndani ya Idara ya wpori nimekuwazo sambamba sana na kila articles zake juu ya...
  3. C

    Hivi Jackton Manyerere ni nani katika Idara Wanyamapori.?

    Habari wadau.! Napenda kufahamu kwa nia ya dhati hivi huyu mwandishi JACKTON MANYERERE ni nani na yupo kimaslahi au ndo loopholes ya per seating allowance na 10% perce ndani ya Idara kongwe na nyeti ya Wanyamapori.? Maana amekuwa anaandíkax2 tuu mambo ambayo hayana msingi. Naomba arejee haya na...
  4. C

    Habari njema kwa Graduate wote hapa Tanzania

    Good and kreative idea, unajua nilikaa nikajiuliza sana anaweza wakilisha vijana Graduate ni nani kama sio ss. Tafadhali wandugu huu ndo muda muafaka wa kuchangamkia fursa kupitia umoja huu. @currently Bsc Environment Studies Student.
  5. C

    Wazo kwa vijana kuhusu uwekezaji na kupata mitaji.

    Sure, bado tatizo lipo palex2 tunauzoefu na vitu hvi mara nyingi wenye fedha hupenda kuwa na sauti na hata kuingilia mawazo na kutaka kubadilisha idea ya mwanzilishi(mwenye wazo), hutaka wao waonekane kwenye jamii kuwa kila biashara wana hold wao.,wanasahau kabisa kuwa ni partnership deed...
  6. C

    Hillary Clinton Naye Karushiwa Kiatu..

    Uongozi kazi, hasa pale unapoongoza maelfu kwa ma million ya watu wa namna tofautix2,kila mmoja ana mapungufu yke na utashi wake wapo machizi,wababe, wasaliti, wenye kukata tamaa ya life,wapo watu wa kila aina hzo ndo challenge hasa unapocheza na jamii iliyopoteza mwelekeo.
  7. C

    Dar yageuka `Sodoma` kwa ngono za wazi hadharani

    Bongo land nchi na ardhi vinanuka dhambi kuanzia viongozi hadi walala hoi..!
  8. C

    Makamu wa Rais Dk. Bilal, Afande Kova, Mkuu wa Mkoa wa Dar na Dk. Magufuli wanusurika ajali ya helikopta

    Kazi kweli kweli,yote kwa yote tunasubiri news zilizoshiba mithili ya chatu mla watu.
  9. C

    Anayehitaji line ya tigo tigopesa na navodavodacom vodacomM-pesa

    Mimi nina Till 2 za Artel money kila moja nauza kwa Tshs 80,000@ x2. Karibuni
  10. C

    Anayehitaji line ya tigo tigopesa na navodavodacom vodacomM-pesa

    Kweli nimekubali soko huria baabu.! Hvi ndivyo inavyotakíwa katika biashara. Huyo jamaa M TIRO analia nn tuulize wataalamu wa Marketing tukueleze biashara inaingia aje kwenye competition kwa kuzingatia kitu inaitwa 4P'S i) Product: lazima iwe na quality ya ushindani,tangible or intangible...
  11. C

    Ahsanteni, Nimepata Ajira

    Ubarikiwe.! Kumbuka kutoa fungu la 10% ktk mshahara wako wa kwanza. Ombea wenzako pia nao wenye njaa wapate kushiba kwa nguvu za Mungu. AMEN
  12. C

    Red Garnett bei gani?

    Arusha chini.! Weka bei hadharani tufanye biashara.
  13. C

    Farmers Market at sea cliff

    Pichani product package zimetulia hope zipo mzuka. Tuenzi vyakula vyetu bongo vya asili zaidi.!
Back
Top Bottom