Hiyo imetulia kama walikubali na mkaingia nao mkataba BODI YA MIKOPO lazima hili liwahusu na walimalize wenyewe. Haiingii akili wakaka kimya muda wote bila ya kuwajulisha Wanafunzi kuwa nn kinaendelea. Feedback zingetoka mapema sidhani kama haya yote yangetokea. GOD bless liberity..forever.
Hakika nimerejea tena wana jf...Mimi ndio mwenye mada dhidi ya MANYEREre na Idara Wanyamapori.! Kwa kifupi mm ni mjasiliamali mwenye hasira na uchungu wa rasilimali za Taifa. Kazi nyingi za Mwandishi MANYEREre ndani ya Idara ya wpori nimekuwazo sambamba sana na kila articles zake juu ya...
Habari wadau.!
Napenda kufahamu kwa nia ya dhati hivi huyu mwandishi JACKTON MANYERERE ni nani na yupo kimaslahi au ndo loopholes ya per seating allowance na 10% perce ndani ya Idara kongwe na nyeti ya Wanyamapori.? Maana amekuwa anaandíkax2 tuu mambo ambayo hayana msingi. Naomba arejee haya na...
Good and kreative idea, unajua nilikaa nikajiuliza sana anaweza wakilisha vijana Graduate ni nani kama sio ss. Tafadhali wandugu huu ndo muda muafaka wa kuchangamkia fursa kupitia umoja huu. @currently Bsc Environment Studies Student.
Sure, bado tatizo lipo palex2 tunauzoefu na vitu hvi mara nyingi wenye fedha hupenda kuwa na sauti na hata kuingilia mawazo na kutaka kubadilisha idea ya mwanzilishi(mwenye wazo), hutaka wao waonekane kwenye jamii kuwa kila biashara wana hold wao.,wanasahau kabisa kuwa ni partnership deed...
Uongozi kazi, hasa pale unapoongoza maelfu kwa ma million ya watu wa namna tofautix2,kila mmoja ana mapungufu yke na utashi wake wapo machizi,wababe, wasaliti, wenye kukata tamaa ya life,wapo watu wa kila aina hzo ndo challenge hasa unapocheza na jamii iliyopoteza mwelekeo.
Kweli nimekubali soko huria baabu.! Hvi ndivyo inavyotakíwa katika biashara. Huyo jamaa M TIRO analia nn tuulize wataalamu wa Marketing tukueleze biashara inaingia aje kwenye competition kwa kuzingatia kitu inaitwa 4P'S i) Product: lazima iwe na quality ya ushindani,tangible or intangible...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.