Samwel Magoiga
Member
- Feb 12, 2011
- 6
- 2
Halow
Sasa mnadai unatumbukiza mkwanja Benki kisha unaambatanisha pay slip nina uhakika gani iyo hela naiweka kwao na watanitafutia kazi kweli na hawa jamaaa ndio wanafanya maisha ya Job Seekers yawe magumu kwa sababu wanakumbatia nafasi za watu ili waziuze kwa mpango wao huo...daa hii nchi utumbo mwingi sana sijui wahusika wako wapi kuliona hili...