Huku kwetu kunajamaa alimpeleka bosi wake mahakamni kwa kutomlipa sitahiki zake yule kabwela akapanda cot kabwela alishinda kesi.Nichokuomba kaka usikate tamaa tupiganie katiba mpya ili kila mtu apate haki yake
Katiba mpya itaondoa uzamini wa rais kwenye maliasiri zetu ili umiliki ulidishwe kwa wananchi wenyewe pia nakufumua mikataba upya nakuifunga kwa masirahi ya taifa sio ya mtu binafsi
Makamu mwenyekiti alikua bize na shughuli za chama amekabiziwa kazi kubwa kukiwakilisha chama kwenye bunge la ujerumani na wabunge wa africa usio na wasi wasi chama kipo imara kamanda vilevile tupo wamoja Ok?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.