Recent content by Chokoza fikra

  1. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Shahidi kadhaa zikirandana ndo hudhibitisha kweli. Ushahidi wa pili ukiupinga ule wa kwanza basi ulikuwa unadhani,si kujua
  2. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Baade unitofautishie kujua na kudhani
  3. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Yapo matatu hapo
  4. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Dai la kwanza kupokelewa ni ujuzi? Sasa ukianza kwa kujua vipi ushahidi unaofata usipothibitisha ulichodhani ni ujuzi rasmi tiyari? Kama ujuzi ndo unaanza, mtu anajuaje kwamba hajui
  5. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Ubongo unachakata taarifa(ushahidi)na kuunda hitimisho(kujua). Sasa nashangaa wewe unasema inaanza ujuzi alafu ndo tunaikusanyia ushahidi!
  6. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Mkuu ,hapo ubongo unajua kwa njia Gani Mwanzo kabla ya ushahidi?
  7. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Nichimbe wapi, nielekeze Au hoja zimeisha ukaamua unituhumu sijachimba?
  8. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    You call time an illusion because you failed to define it. Changamoto,kama hakuna muda ,hakuna mabadiliko,hakuna mjongeo,hakuna causality etc
  9. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Tumeunganikaje sasa ndo ufafanue.
  10. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    We muulize akijua mtoto wake amejiunga na dhehebu la kufunga Hadi kufa atafurahi?
  11. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

    Uko sahihi nabii
  12. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

    Kwani watu na wadogo zake ni visawe? Mimi nmeuliza muktadha mpaka wadogo zake awaite watu tu?
  13. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

    Mbona hujasema baba na mama yake ,au nao sio watu
  14. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Je, Kulikuwa na Machafuko Kabla ya Mwanadamu?

    Wewe lini uliwataja wadogo zako kama "watu"?
  15. Chokoza fikra

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Wewe ni illusion?
Back
Top Bottom