wakuu naona hapa watu wanajaribu kuhalalisha hii hoja ya ubaguzi, inayofanywa na viogozi wa ccm,mimi nadhani hakuna haja ya kuwaelimisha zaidi juu ya uovu huu,sio kama hawaelewi ila wanajaribu kumtetea kiongozi wao,hamna haja ya kujibizana nao,ila majibu yetu yatakuwa mazuri zaidi 2015,na hapo...