Mi nilikua cjaelewa nilipo ambiwa na mtu mmoja Mwigulu akili yake haitoshi kuongoza watu kumbe kweli! Hao watu walikuja kwaajili ya Simba co wewe kama huami rudi bila Simba uone!
Nakushauri uache utoto na badala yake ushugurike na maisha ya Wanairamba, ukirudia ujinga huu watu watakuudharau...
Raisi Kikwete tuokoe baba, tulikupa nchi utusaidie sio kutufanya tukulilie hiyo kodi ni kubwa sana kwa wananchi wasiojiweza ambao simu wamepewa na watu wenye uwezo baba simu unaua kodi kubwa sana siyo kidogo!
Baba hayo ni mambo ya kihandisi! Co vyembamba na gari zinapishana pale! Hofu yetu iwe ni umbali uliopo baina ya vituo viwili, umbali huu haurusu magari kukuimbia kama yaitwavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.