Recent content by Chizo1989

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna suala la kibajeti naona hapo kuwa na subra bajeti 2024/2025 ndio hiyo inaanza kesho
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ni mawaziri wangapi wanaweza kukataa rushwa ya Tsh milioni 300?

    Futa hii ndugu yangu
  3. C

    JamiiForums Tanzania Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Ingawa wanapopulation kubwa lakini bado uwezo wa kuzalisha ni mkubwa na hasa katika sekt za utoaji wa huduma
  4. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mke anataka ndoa ivunjike kwa kuwa mumewe anapewa vya ziada na mchepuko

    Shida ni kasamvu hawezi acha labda mpaka aje apigwe bomba
  5. C

    JamiiForums Tanzania Afrika ya Kusini imeweka azma ya kufungua mashitaka dhidi ya Taifa la Israel

    Wote wenye mabavu siku zote wamemuacha israel aendelee kutesa ndio ije Muafrika asikilizwe
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Kutishana tu kumejaaa mtu weka ramani watu wajaribu bahati zao
  7. C

    JamiiForums Tanzania Vatican yathibitisha marufuku ya Wakatoliki kuwa Freemasons

    Suala la ushoga asilifumbie pia macho aweke msimamo wa wazi
  8. C

    JamiiForums Tanzania Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

    Mganga aliyechangamka
  9. C

    JamiiForums Tanzania The return of Makonda yapeleka kilio mitaa ya Ufipa

    Uchawa mbaya sana
  10. C

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

    Swali hilo halifai ni kutafuta mgogoro tu
  11. C

    JamiiForums Tanzania Wana CHADEMA wataka kufanyike ukaguzi maalum wa fedha na mali zote za chama

    Wanachama wa wapi unaowazungumzia napenda uwe unakuja na data hapa. Hata hivyo vyama vyetu huwa vina changamoto nyingi mfano ile ripoti ya CCM kuhusu mali za chama mbona mpaka leo haijapelekwa kwa wanachama. Mkuu wa kaya ilibidi atulie alichokutana nacho
  12. C

    JamiiForums Tanzania Makonda atatua kero ya lift ofisi za CCM Mwanza

    Kwa hiyo mwamba anachukua pointi naona saivi kageuka lulu aisee
Back
Top Bottom