We bwana kitu Kama huwezi waachie wanao weza. Wengine apa tunahudhuria jumuiya kwa burudan kabisa. Au hiyo jumuiya yenu ndio ina shida nahisi. Jaribu kuchunguza
Kinacho nishangaza Ni kwamba Urusi waliplan mission yao kuwa itakamilika ndani ya mwezi mmoja Cha kushangaza mda unazidi kwenda na hawajiulizi kwanini imekua hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.