Recent content by chiwani

  1. C

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani uliaminishwa kabla ya kuanzisha biashara, ila ulipoingia uliona mafanikio au mauzauza

    Biashara ya Bodaboda,sitaki kuisikia tenaaa
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kwa nini stendi ya bus Iringa ilijengwa Igumbilo badala ya Ipogolo?

    Lengo ni kupanua mji,Igumbilo to Kilolo,Ilula ndio mji wa Iringa unapoelekea.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mbunge apata kigugumizi kuongea Kingereza. Aomba po! "I'm sorry"

    Very right,i thought the same.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kwa mtazamo wangu, 2Baba (zamani 2Face) na P Square ni moja ya wasanii bora Nigeria

    Hii list umeipangilia na kuipatia kwa 100%
  5. C

    JamiiForums Tanzania Dereva Mtanzania Juma Ally Maganga aliyehukumiwa miaka mitatu jela nchini Sudan aachiwa huru

    Yes alikabidhi gari lake kule ili ichangie hiyo pesa iliyohitajika.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo tumekubaliana wakifa wote tutatawaliwa na watoto sio? Pole Halima Mdee!

    Kwa hiyo Wakazi na Jide ni watoto wa Wasira?
  7. C

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa; Lugha ya Kiswahili ina nafasi gani katika nchi ya Uganda

    Baada ya Luganda/kiganda ambayo ni lugha kubwa kutoka kwenye kabila la wabaganda,wanatumia Kiingereza kama official language.Lakini kiswahili pia ji kama lugha ya tatu kwa kuwa kinazungumzwa na makabila yote kwa anayekijua,kama kiingerezq. Zaidi kinafundishwa mashuleni,vyuoni hivyo kinazidi...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Aisee singida ina watoto wakali na wala hata sio wabinafsi.

    Na Katavi ongezea hapo!
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kama huyu ndo mtoto wa kwanza wa Ruge Mutahaba basi Karma ipo na inafanya kazi

    Umesikia wapi kuwa amehonga?
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kama huyu ndo mtoto wa kwanza wa Ruge Mutahaba basi Karma ipo na inafanya kazi

    Amechokaje?mbona ana appearance nzuri tu..
  11. C

    JamiiForums Tanzania Ipi ni namna sahihi ya kusema kwa kingereza hii kauli "NINAUMWA MALARIA"

    "I am sick of malaria" is a perfect English to express semantically and grammatically,ambapo kama ungesema "I am sick" peke yake ndio mtu mfano Dr anaweza kukuuliza "you are sick of what?" Na kujibu "I am sick of malaria" However pia unaweza tumia hiyo namba 2.The rest 3-5 may sound correct...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Wenye nguvu ya kupotezea kuchapiwa ni wachache na hao ndio wanaume

    Hii nimeipenda chief.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu nayehisi Daraja la Kurasini linachezacheza magari yakisimama?

    Sidhani,ni hofu yako tu.
Back
Top Bottom