mi naona kujengea makabr ni vizr ila gharama ziwe za kawaida ili tu kuweka kumbukumbu za ndg zetu walio tangulia mbele za haki kwa sababu kwa wa katoliki wana amini katk maandiko kua petro ndio mwamba na juu yake litajengwa kanisa na ndipo lilipo kanisa kuu zaid la wa RC dunian makai makuu ya...
nmeona alivyoomba mwenyewe kifo chake kipambwe namna gan cjui kama wachina watamrudisha mazishi yafanyikie iringa au dar kama alivo dhan hzo pink na purple watavaa wachina cku yenyewe
nenda dada kakutane na muumba wako coz naona cku zmefka wachina hawana mchezo na hili lkn kama umetumwa na bwana mkubwa tutawatishia wachina kuwaondoa otherwise wakurdishe tufanyie case nyumban
Kifo cha hayati nelson mandela ndio habari kubwa ya mwaka 2013 si kwasababu alikua rais msitaafu wa afrika ya kusini bali ni kwa harakati zake za ukombozi wa waatrika na usawa kwa watu wote duniani na hii ndiyo sababu kubwa ya mimi na waafrika wezangu tunaishi duniani tukiwa huru nikutokana na...
dini ukabila kila kukicha kama mnayatoa misikitin na makanisani ni bora watu wafanyie ibada nyumban mbona wenye miziz ya dini hawayaongei haya yataften mtayapata mwisho wake ni watu kuuana bure mwarabu kaleta uislam na mzungu kaleta ukristo bac fanyen kila mtu kwa iman yake na weng wetu tumethi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.