Recent content by Chivundu

  1. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Ngoja nipekue pekue selfika mkuu! 😊
  2. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Nimecheka njia nzima! 😁 Sawa, nimekuelewa mkuu.
  3. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Nani huyu mkuu! Au ndio Seran? 😊
  4. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Unataka kupiga soga na nani?

    Nimecheka sana! 😊 Mshana Jr , hiyo simu yako shemeji huwa anaishika kweli kwa mapicha haya? 😊
  5. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Dah! Nimecheka sana. Wanawake ni watu werevu mkuu!😊
  6. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Nje ya mada: Tajiri hii picha ya Michael Jackson (MJ) nimeikubali sana. 😊
  7. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Ukioa kwenye hela na wewe huna hela au status, lazima utaonekana kolo ukweni. Na wao wataona sio hadhi yao, au umekuja kutaka kitonga. Ni sawa uoe familia watu wamebukua. 😊 Wanakuona MEMKWA tuu.
  8. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Ukifuga mbuzi 10 leo mpaka mwakani utakuwa na mbuzi zaidi ya 20 mwaka unaofata utakuwa na mbuzi zaidi ya 100

    Mbuzi ukifuga ili azaliane utachelewa sana. Fanya kama wasomali, wao wananenepesha "fattening" mbuzi, wanatenga eneo zuri, wananunua mbuzi species nzuri minadani na kwa watu, wanawaweka kambini kama miezi mitatu kuwatibu na kuwapa chakula kizuri badae wana sort wanawauza kwa wingi Pugu na...
  9. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu: Marufuku Mawakili kuongea na Vyombo vya Habari nje ya Mahakama baada ya mashauri kuahirishwa

    Hii imekuja baada ya kesi ya Lissu! 😊 Mahakama ni kinyago cha serikali, wamekichonga wenyewe.
  10. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Mnaoandika mali zenu kwa majina ya wazazi kuna ujumbe wenu hapa? Je, ni sahihi kuandika mali zako kwa majina ya wazazi wako?

    Ni kweli kabisa. Lakini jifunze vitu hivi; Declaration of trust, Registered gift or Will, Memorundum of Understanding (MoU) incase you funded the purchase that no other family member can claim a share. Hata Mzazi anaweza andika mali zake kwa jina la mtoto na kinyume chake na siziwe zako. 😊...
  11. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Mnaoandika mali zenu kwa majina ya wazazi kuna ujumbe wenu hapa? Je, ni sahihi kuandika mali zako kwa majina ya wazazi wako?

    Kama kitu gani? Kifo chake, au changu? Sisi kwetu, mama ana mali zake, baba ana mali zake. Afu kuna mali za baba na mama yaani "spouse properties". Na kuna tumali twangu binafsi tuwili tutatu, nimeandikisha kwa jina la mama yangu. Mfano; mama yangu ana share kwenye kampuni yetu. Ni "Co-owner".
  12. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Mnaoandika mali zenu kwa majina ya wazazi kuna ujumbe wenu hapa? Je, ni sahihi kuandika mali zako kwa majina ya wazazi wako?

    Bimkubwa wangu ndio msiri wangu! Ndie anaejua mali zangu na michongo yangu! Kwishaa.
  13. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Pole mkuu.
  14. Chivundu

    JamiiForums Tanzania UMRI WA MIAKA 28 tayar mtu amekua msemaji wa white house na ameomba kuacha nafasi hiyo je TANZANIA chini ya 30 unaweza kua DIWANI?

    Kibongo bongo mkubwa akikuelewa unakula shavu tuu. January Makamba alikuwa msaidizi wa raisi JK, hotuba akiwa yanki tuu. Ni wewe tuu na ngekewa zako. Zitto Kabwe alikuwa mbunge kwenye miaka 27 hivi na kuwa Mwenyekiti wa PAC kusimamia mashirika ya umma.
Back
Top Bottom