Wazungu pamoja na kwamba hatuwapendi na walitutawala, lakini ni jamii iliyostarabika kwa asili.
Ustaarabu ni kitu wenzetu huzaliwa nacho. Nenda Scandinavian countries, ukifika tuu utajua hapa nipo ulaya, hata mindset yako hubadirika. 😊
Namkumbuka Ben Saanane. Siwezi kuzungumza sana kuhusu yeye. Lakini haipiti siku, sijafikiria juu yake. Popote ulipo Ben, nakukumbuka rafiki yangu.
Namkumbuka Le Mutuz (R.I.P). Watu wengi walimfahamu kupitia emage yake ya mitandao. Lakini kiuhalisia nje ya mitandao, William alikuwa ni mtu...
Ngoja wapitishe muswada huko Marekani, tuone kiburi cha huyo mama.
Pesa anazoiba yaye na Mwigulu, kuwapa wakwe zake na watoto kutanua, kununua majumba huko Marekani zinakwenda kutaifishwa 😊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.