Recent content by Chivundu

  1. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Wazungu pamoja na kwamba hatuwapendi na walitutawala, lakini ni jamii iliyostarabika kwa asili. Ustaarabu ni kitu wenzetu huzaliwa nacho. Nenda Scandinavian countries, ukifika tuu utajua hapa nipo ulaya, hata mindset yako hubadirika. 😊
  2. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    Namkumbuka Ben Saanane. Siwezi kuzungumza sana kuhusu yeye. Lakini haipiti siku, sijafikiria juu yake. Popote ulipo Ben, nakukumbuka rafiki yangu. Namkumbuka Le Mutuz (R.I.P). Watu wengi walimfahamu kupitia emage yake ya mitandao. Lakini kiuhalisia nje ya mitandao, William alikuwa ni mtu...
  3. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Kama kweli tunaipinga Israel, tuache kutumia iPhone. Vinginevyo ni sawa na kulaani kitimoto ila tukijifungia vyumbani twala hadi kujilamba vidole

    Kumkwepa myahudi mi ngumu sana. Mkitoka hapo mje kwenye dawa na vinywaji vyenu pendwa. 😊
  4. Chivundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

    Huo mzigo haumwelemei kweli huyo dada kweli?
  5. Chivundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

    Kiwanja changu cha zamani, kiwanja kikali sana hicho, full package.
  6. Chivundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

    Nimecheka sio poa mkuu! 😁
  7. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Itakuwa Ni Makosa Makubwa sana kumtoa Lissu Gerezani. Atakuja Kuligawa Taifa na Kuleta Uchochezi Mkubwa na kupandikiza Chuki na Uhasama kwa Watanzani.

    Ngoja wapitishe muswada huko Marekani, tuone kiburi cha huyo mama. Pesa anazoiba yaye na Mwigulu, kuwapa wakwe zake na watoto kutanua, kununua majumba huko Marekani zinakwenda kutaifishwa 😊
  8. Chivundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Polepole msije mkamkimbiza mgeni! Mkaribisheni vizuri bwana dullah. 😊
  9. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA kwenye mazungumzo mazito na DPP kuhusu hatma ya Lissu

    Crap 💩
  10. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa sheria: Je, ni kosa kupandisha bendera ya taifa nyumbani kwako?

    Utasikia anahatarisha amani yetu. 😊
  11. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    Tayari huko! 😊
  12. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Kumbe hawa watu wako well informed of what transpired on 29th October 2025

    Gentleman, watu waliuwawa au hawakuuwawa? Mbona hujibu swali unanishambulia?
  13. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Kumbe hawa watu wako well informed of what transpired on 29th October 2025

    Gentleman, watu waliuwawa au hawakuuwawa?
  14. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Kumbe hawa watu wako well informed of what transpired on 29th October 2025

    Gentleman, watu waliuwawa au hawakuuwawa?
  15. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Tuone nyumba yenyewe mkuu?
Back
Top Bottom