Anataka azalishe mtu/watu, walee watoto wake mpaka wafikie age ya miaka saba awachukue!
Badae mtoto akiwa hana malezi mazuri aseme mama yake kamharibu hakumlea vizuri. 😁
Eleza ni dereva gani anahusika, mimi nina ki probox changu cha kubebea majani, bado mimi ni dereva mkuu. Mwalimu Mstaafu ana ki Nadia chake cha kustaafia, yule pia ni dereva.
Israeli na Marekani ni nchi za kipuuzi linapokuja suala la Afrika na Uafrika.
Hakuna sehemu kuna ubaguzi mkubwa wa rangi ya kiafrika kama Argentina na Israeli.
Kuna siku nilikuwa nasikiliza podcast moja ya masuala ya kijasiriamali. Kuna mtoa mada mmoja mtu mwenye biashara zake kubwa tuu Kenya. Akasema katika mwekezaji hakikisha biashara/miradi yako 10, miradi miwili unaiwekeza kwenye kundi kubwa la WAJINGA. 😁
Akasema Afrika wenye hela na mafanikio...
Maisha hayategemei sana huo u "Great thinker" wako. Maisha ni mambo mengi, kuna nyota, stadi za maisha, kipaji, bidii, bahati na maarifa sahihi n.k.
Nyongeza: Afrika na bongo kwa ujumla, mambo mengi ya kijinga ndio waga yanaleta hela na kutoboa kimaisha. Huu ni uzoefu wangu. 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.