Recent content by Chivundu

  1. Chivundu

    Jimbo la Isimani, Iringa tunasema Festo Kiswaga anatosha kuwa mrithi wa Lukuvi

    Hapo Isimani wampe Eng. SEBASTIAN KIYOYO. Mtu mwenye akili zake timamu. Amekuwa namba mbili kwenye kura za maoni kwa miaka mingi hapo.
  2. Chivundu

    The worst prison in the world is home without peace. Be careful who you marry or fall in love with

    Anataka azalishe mtu/watu, walee watoto wake mpaka wafikie age ya miaka saba awachukue! Badae mtoto akiwa hana malezi mazuri aseme mama yake kamharibu hakumlea vizuri. 😁
  3. Chivundu

    KERO Ukimya wa Uhamiaji na Maumivu ya Wananchi Wanaosubiri Pasipoti

    Huyu jamaa ataprint sana! 😁 Hao ndio UHAA-MIAJII mkuu. Tukipiga kelele hii nchi haipo fair, mnatuonaga wachochezi.😁
  4. Chivundu

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Huku mashuleni kuna printer basi! Madawati tuu yenyewe hakuna. 😁
  5. Chivundu

    Mfano mimi ndio baba mkwe wako sasa, hebu nishitakie tabia za mwanangu

    Baba mkwe mwenyewe mwanachama wa CHAPUTA. 😁
  6. Chivundu

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Mimi sijafika Uarabuni. Sema waisraeli wa Utegi mna shida sana. 😁
  7. Chivundu

    Kuna mzee wa miaka 90 kasema tangu azaliwe hajawahi kuona Uchawi

    Uchawi/Ulozi vitu ambavyo mimi nimewahi hakiki kuwa vipo. Sio lazima na wewe msomaji wa comment yangu uamini hivyo. 😁
  8. Chivundu

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Eleza ni dereva gani anahusika, mimi nina ki probox changu cha kubebea majani, bado mimi ni dereva mkuu. Mwalimu Mstaafu ana ki Nadia chake cha kustaafia, yule pia ni dereva.
  9. Chivundu

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Israeli na Marekani ni nchi za kipuuzi linapokuja suala la Afrika na Uafrika. Hakuna sehemu kuna ubaguzi mkubwa wa rangi ya kiafrika kama Argentina na Israeli.
  10. Chivundu

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Kuna siku nilikuwa nasikiliza podcast moja ya masuala ya kijasiriamali. Kuna mtoa mada mmoja mtu mwenye biashara zake kubwa tuu Kenya. Akasema katika mwekezaji hakikisha biashara/miradi yako 10, miradi miwili unaiwekeza kwenye kundi kubwa la WAJINGA. 😁 Akasema Afrika wenye hela na mafanikio...
  11. Chivundu

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Maisha hayategemei sana huo u "Great thinker" wako. Maisha ni mambo mengi, kuna nyota, stadi za maisha, kipaji, bidii, bahati na maarifa sahihi n.k. Nyongeza: Afrika na bongo kwa ujumla, mambo mengi ya kijinga ndio waga yanaleta hela na kutoboa kimaisha. Huu ni uzoefu wangu. 😁
  12. Chivundu

    Ratiba ya msiba wa William Lukuvi. Mazishi kuongozwa na Rais Samia

    Matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi haya.
  13. Chivundu

    Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

    Mpumbavu, vijana nchi hii wanapendwa kinafiki. Keki ya nchi haiwafikii vijana. Tuna vijana masikini nchi hii.
  14. Chivundu

    Usimamizi wa 'Mikopo ya Dharura kupitia simu' nchini Tanzania

    Ni wizi kiukweli huu. Waendesha mikopo riba zao ni kubwa na ongezeko la kila siku la kuchelewesha mkopo.
Back
Top Bottom