Ukioa kwenye hela na wewe huna hela au status, lazima utaonekana kolo ukweni. Na wao wataona sio hadhi yao, au umekuja kutaka kitonga.
Ni sawa uoe familia watu wamebukua. 😊
Wanakuona MEMKWA tuu.
Mbuzi ukifuga ili azaliane utachelewa sana. Fanya kama wasomali, wao wananenepesha "fattening" mbuzi, wanatenga eneo zuri, wananunua mbuzi species nzuri minadani na kwa watu, wanawaweka kambini kama miezi mitatu kuwatibu na kuwapa chakula kizuri badae wana sort wanawauza kwa wingi Pugu na...
Ni kweli kabisa. Lakini jifunze vitu hivi; Declaration of trust, Registered gift or Will, Memorundum of Understanding (MoU) incase you funded the purchase that no other family member can claim a share. Hata Mzazi anaweza andika mali zake kwa jina la mtoto na kinyume chake na siziwe zako. 😊...
Kama kitu gani? Kifo chake, au changu?
Sisi kwetu, mama ana mali zake, baba ana mali zake.
Afu kuna mali za baba na mama yaani "spouse properties".
Na kuna tumali twangu binafsi tuwili tutatu, nimeandikisha kwa jina la mama yangu.
Mfano; mama yangu ana share kwenye kampuni yetu. Ni "Co-owner".
Kibongo bongo mkubwa akikuelewa unakula shavu tuu. January Makamba alikuwa msaidizi wa raisi JK, hotuba akiwa yanki tuu. Ni wewe tuu na ngekewa zako.
Zitto Kabwe alikuwa mbunge kwenye miaka 27 hivi na kuwa Mwenyekiti wa PAC kusimamia mashirika ya umma.
Nakumbuka kuna sehemu nilipeleka proposal ya kua; ndio nimetoka toka chuo, mtaa sijauelewa vizuri. 😊
Nikaqmbiwa "sina future", huwa nacheka sana nikikumbuka hiki kisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.