Kama nyie mnaojiita wanaume mngekuwa na malezi bora kusingekuwa na single mothers acheni kuwajengea hoja wenzenu mitaani kuna mivuta bangi kibao mibakaji kibao imelelewa na wazazi wote.. Tena nyie wanaume ndio hamjui malezi kabisa let say mkifiwa na wake zenu au mkitalikiana utaona mitoto...
Jamani ukubwa haumati.. Kikubwa ufundi jamani kwa hiyo nawashauri wanaume wenye vibamia msiwe undermined kabisa jua jinsi ya kucheza na hisia za mpnz wako jua maeneo muhimu nakwambia huachiki na hachepuki kabisaaaa... Mi binafsi napenda kibamia watu wa dizain hizi wanajali sana hisia na...
Hamna maisha marahisi kiasi hicho mdogo angu utaishia lupata ukimwi na kaswende tu.. Soma kwa bidii jishugulishe wewe mbona bado mdogo sana kwa kukata tamaa...
Kuimba kupokezana bwana aimbishe bibi aitikie mauno yakizidi sana kero yasipokuwepo kero!! Siku hizi hakuna makabila wote wanajua viuno mwenyewe nimefundishwa viuno na mchaga ha haaaa kantangazeee...
Jamani wazima nyie hii mada nimeona sehemu mbalimbali ikizungumzwa ila kwa sahivi tunaomba wanaume mtupe ya uvunguni yenu hivi unajisikiaje au unafeel vipi mkeo/demu wako akikata kiuno kwenye sita kwa sita au wewe binafsi nini mapendekezo yako katika hilo..
Maana tumeshuhudia mahusiano mengi...
Endekeza ngono zembe uone utamu wake ila siku hizi kuna pampas za wakubwa... Hapo hmezaliwa 93 ingekuwa miaka ya themanini je?? Angalia utalala na majini na nna uhakika umeshaumwa gonorea zaid ya mara 59
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.