Recent content by chitanda.nyoka

  1. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arab Spring in Syria: 6,000 Dead in a Single Month...

    hizo takwimu zinaonekana kwa wengne tu mbona takwimu za watu walouawa iraq na afghanistani hamzitaji.
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ya Central African Republic yapinduliwa na waasi

    umeshajaza form za kurudia mitihani ya form 4,maana kwahyo akili yako lazima utakuwa ulipata 0
  3. C

    JamiiForums Tanzania Ninavyomfahamu Ludovick Joseph Rwezaura (kilio cha usaliti)

    badala ya kujibu hoja unamtukana mtoa hoja na kwa akili hyo mnataka kutuongoza hii nchi basi afadhali waendelee ccm km akili zenyewe ndo hzo.
  4. C

    JamiiForums Tanzania msaada kituo kizuri cha kurudia mitihani chenye hostel mikoa ya morogoro na dsm

    naomba kufahamu kituo kizuri kwa wanaorudia mitihani chenye hostel kati ya morogoro na dsm naomba tusaidiane maana kijana wangu kaharibu vibaya yaani hata ngazi ya cheti hapati.
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    kweli bro hiyo kitu ina madhara sana inaondoa hamu ya kuwa na mwanamke ww demu ukimpenda unampigia nyeto tu unavuta image yake.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika kutafuta kazi nimeipata bahati mbaya...

    ndugu yangu bado nnaendelea kutafuta maana kule nnafikia guest na sijui gharama ya maisha ipo vipi,hla kwenda kwa uwezo wa mungu ntae
  7. C

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika kutafuta kazi nimeipata bahati mbaya...

    nimehangaika muda mrefu kutafuta kazi nilipga interview nyingi mpaka nikawa nikipigiwa simu ya interview hata sina wasiwasi ikawa ndo kama maisha yangu kupga interview daily,mwaka jana nikaomba utumishi nikafanya interview duce halafu library matokeo yakawa hola nikaitwa tena mwl nyerere...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Timbulo Akamatwa Na Madawa Ya Kulevya Burundi Cheki Picha Za Tukio Hapa

    wewe mwenyewe unauwezo gani wa ku analyze unaropoka tu kutafuta sifa na humu hakuna hata mtu aliyekusuport kwa kauli yako huyo nikijana mwenzetu hata kama kafanya kosa anatakiwa apewe adhabu ambayo itamfanya ajirekebishe sasa unavyotaka anyongwe atarekebisha vp makosa yake?usichotaka kikufike ww...
  9. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ILE NDEGE GHALI KABISA YA KIJESHI NI BOMU (Ilitaka kuua Mapilot wake kwa kukosa Oxygen).

    hizo ndege kabla hazijakamilika israel ameshatuma maombi na yeye apewe angalau moja tu zitakapokamilika wala hana mpango wa kuumiza kichwa na hatoi hata mia anasubiri mzee akishakamilisha apewe msaada.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Timbulo Akamatwa Na Madawa Ya Kulevya Burundi Cheki Picha Za Tukio Hapa

    hao vijana kwani huo unga wanalishwa kinguvu,wenyewe wamekata tamaa ya maisha na sisi tunawaletea tu,eti ungekua karibu ungemlima risasi hao walomzunguka wote wanazo risasi mbona hawajampga sababu wana akili timamu.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Timbulo Akamatwa Na Madawa Ya Kulevya Burundi Cheki Picha Za Tukio Hapa

    na wewe pia great thinker?hauna akili hata punje,mtu mwenye akili timamu hawezi kumuombea binaadamu mwenzake mabaya kiasi hicho.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    sasa ukiama unamkomoa nani?ondoka hata leo
  13. C

    JamiiForums Tanzania Juliana Shonza amlipua Mbowe

    zito pia ana shahada ameitafutia kazi?ukijibu hilo na wewe utakuwa umepata jibu lako.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Polisi Z'bar yamjibu Pengo kuhusu Uamsho na Vurugu za kidini Zanzibar

    wewe sindiye uliyetaja sema ipo wapi?
  15. C

    JamiiForums Tanzania Kuongeza size ya machine

    hyo dawa ipo kuna jamaa yangu anatoka handeni kuna sehemu inaitwa chanika anakuja tarehe 28/2/2013 anakuja dsm kwa shughuli hyo tu kuna mabosi wenye vibamia wamemtumia nauli aje tena ukimpata hapa dsm utapunguza gharama kwanza umeletewa huku dsm tofauti na wengne wanaenda tanga kuzifuata.uzuri...
Back
Top Bottom