Jana akijinasibu kwa wakazi wa Kigamboni Magufuli alisema akichaguliwa wakazi hao watapia daraja la Kigamboni bure! Lakini akasema wenye magari binafsi lazima walipie hiyo uduma, sasa najiuliza hao wananchi watapitaje bure kwa kutembea au?, na kama watapanda daladala si watakuwa washalipa nauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.