Recent content by Chipwepwele

  1. C

    Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

    Kumbuka kuwa kura yako ni moja tu.
  2. C

    Tuamini au tusiamini?

    Lakini mwandishi ameeleweka. Jibu au changia mada kama unajeuri. Usilete hadithi zako ili kutuondoa kwenye mjadala.
  3. C

    Ziara za Kinana zazua Ufisadi Mkubwa

    Hivi wakati Kikwete anaapishwa bei ya lita moja ya petroli ilikuwa shilingi ngapi?
  4. C

    Tundu Lissu avurugwa.

    HAPA NI AKILI NDOGO NDIYO INAYOSUMBUA! Wakati anayasema haya, Tundu Lisu alinukuu kitabu ambacho kipo mitaani siku nyingi sana. Hivi ndo kusema kitabu hicho walikuwa hawajakiona hadi kumjia juu hivi? Kwa nini huyo mwandishi hakujibiwa mara tu alipotoa chapisho la kitabu hicho? Huyu anayejiita...
  5. C

    Mameya na watendaji wa serikali za mitaa ni mizingo

    Watatatua kero zipi na kwa bajeti ipi? Tuache kuwabebesha watu mizigo wakati tatizo ni mfumo, sera zetu na vipaumbele vyetu. Jana kulikuwa na malalamiko ya wananchi wa Mkoa wa Tabora mbele ya Kinana. Ni lipi ambalo alilitatua kama si kupiga siasa na kutoa ahadi ambazo anajua fika kuwa...
  6. C

    IPTL saga: Siri Imevuja, Mwigulu na Zitto Kabwe Kaa la Moto... Ndio waliolipua!

    Inashangaza sana Watanzania tunavyoichukua hii issue kishabiki badala ya kusimamia maslahi ya Taifa. Hivi sifa zote hizi kwa Zito na Nchemba bila kuwa na majibu ya fedha hizi zitarudije na hatua gani zitachukuliwa kwa wahusika zinatusaidia nini kama Taifa? Vile vile wale ambao huwa wanaandamana...
  7. C

    Baraza kivuli ni mzigo: Prof. Lipumba & Mbatia, acheni kujidhalilisha!

    Ndo maana tunaibiwa mabilioni kila kukicha kutokana na nchi kujaa wapumbavu wa sampuli yako.
  8. C

    Mbowe hovyo kabisa

    Buku 7 bwana, wanatia aibu kweli!
  9. C

    Hii ndo ilikuwa sababu kubwa ya Kutochagua wawakilishi toka Makanisa ya Kipentekoste

    Kwa kweli Mtetemela amejiabisha sana. Ameonyesha kuwa ni Yuda kwa kuisaliti Tanganyika nchi aliyozaliwa. Aibu sana kuwa Msakatonge. Sasa nimeanza kujua kwa nini baadhi ya waislam hawataki kusikia habari ya BAKWATA!
  10. C

    James Mbatia huna shukrani

    Ndiyo Mzee! Mbatia hawezi kufanya upuuzi huo. TANGANYIKA KWANZA!
  11. C

    Tamko kutoka TBC: Mvua iliathiri mitambo wakati wa hotuba ya Lissu

    Huo ni uongo wa kitoto na ni aibu kwa chombo cha umma kufanya hivyo. Angalau Sita umeyaona hayo!
  12. C

    Tamko kutoka TBC: Mvua iliathiri mitambo wakati wa hotuba ya Lissu

    Huo ni uongo wa kitoto na ni aibu kwa chombo cha umma kufanya hivyo. Angalau Sita umeyaona hayo!
  13. C

    Njia mpya ya kusafirisha "sembe" nje ya nchi

    Ili nchi hii ikae sawa tunahitaji kufanya mabadiliko makubwa ya uongozi.
  14. C

    Mavazi katika ofisi za Umma: Utumishi watoa mwongozo

    Tatizo ni ufuatiliaji. Yameshatolewa matamko mengi sana lakini hakuna ufuatiliaji. Mfano Level seat kwenye daladala, nani anaikumbuka kwa sasa? Tuache kukurupuka katika kutoa matamko wakati tukijua hatuna ubavu wa kufuatilia.
Back
Top Bottom