Recent content by chipanga

  1. chipanga

    JamiiForums Tanzania Velena Marwa: Salum Mwalimu alitubana kukemea yaliyotokea Oktoba 29

    Wanatengeneza drama ili chama kipate milage. Wanatafuta kutrend
  2. chipanga

    JamiiForums Tanzania Huu mpango wa Dangote kujenga refinery East Africa umekaaje?

    Na TZ itafaidika pia tena zaidi manake na ajira zitaongezeka
  3. chipanga

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa Dikteta makini sana, waliofuata ni washamba labda kwa mbaaali Mkapa

    Kama wasaidizi waliweza kumpinga unasemaje alitawala mbumbumbu, Nyerere ndiye Rais pekee aliyekutana na majaribio ya kweli ya kutaka kupinduliwa, unasemaje alitawala mbumbumbu?
  4. chipanga

    JamiiForums Tanzania Uteuzi wa Makonda: Kosa la kiufundi, CHADEMA Mshindwe Wenyewe

    Hata Samia anawaza hivi hivi ndo sbb ya kumrudisha mwambie main stage ila mtoa mada Yuko sahihi, makamanda wamepewa ajenda tayari.
  5. chipanga

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

    Gati namba 8-11 ndo ilikuwa TICTS. Hatuna hizi Gati tangu enzi za Mkapa. CCM ni adui mkubwa wa hili Taifa. Kama Taifa hapa tumeliwa.
  6. chipanga

    JamiiForums Tanzania Kwanini Selemani Jafo ndiye atangaze "kupiga nyungu" na si Dkt. Dorothy Gwajima?

    Kwahiyo ni tamko la Rais
  7. chipanga

    JamiiForums Tanzania Membe: Sijaumbwa kuwa Rais wala sina tamaa ya Urais, mimi sitaki nionekane kibwengo

    Jina MEMBE linamaana ya fisi kwa kijita
  8. chipanga

    JamiiForums Tanzania Unaichunguzaje Bandari nzima wakati CEO wake yupo kazini? Hii inakuwa ni zaidi ya siasa

    Umeona ee!? Kulindana tu.
  9. chipanga

    JamiiForums Tanzania Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

    if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa...
  10. chipanga

    JamiiForums Tanzania GE2020 Pengo la kukosekana Slaa na Lowassa laonekana wazi CHADEMA

    Ni kweli ila ishindwe kwa haki siyo kwa mapingamizi ya kihuni.
  11. chipanga

    JamiiForums Tanzania Sehemu ya Kwanza: Huu ndio uelewa duni wa Jasusi Mbobevu Membe

    Kuna yule mwingine alitwambia Saadam Hussein ni rais was Libya
Back
Top Bottom