Kwanini Selemani Jafo ndiye atangaze "kupiga nyungu" na si Dkt. Dorothy Gwajima?

KooZito

JF-Expert Member
Dec 14, 2020
396
1,377
Serikali kupitia kinywa Cha Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo imetangaza wiki ya watu kupiga nyungu inayoanza leo Jumatatu kama moja ya silaha ya kupambana UVIKO.

Ni baada ya kumalizika kwa wiki ya Sheria inayohitimishwa leo ambapo Rais Magufuli ni mgeni rasmi.

Swali langu ni hili. Vita ya UVIKO au Corona iko chini ya wizara ya Afya chini ya Waziri Dk. Gwajima. Kwa nini TAMISEMI ndio itangaze wiki ya nyungu na si Wizara ya Afya?

Je, Dk. Gwajima haamini katika nyungu? Pili, tunaomba maelezo ya kutosha ya namna ya kupiga nyungu maana ni rasmi kiserikali, si ushirikina.
 
Waziri Gwajima ni Waziri wa afya anayejisahau na kuingilia mjukumu ya TAMISEMI,(Waziri wa Afya anatakiwa kushughulikia sera za Afya).Na amekosekana wa kumwambia juu ya kuingilia majukumu ya TAMISEMi,yaani kwa vile alitokea TAMISEMI ambako alifanikiwa kuten genezea kiki zake labda anajisahau kuwa sasa yupo Wizara ya Afya!

Waziri Jafo ni Waziri wa TAMSEMI na ni Wizara iliyopo karibu na Wananchi kupitia usimamizi wa Vijiji,Halmashauri,Wilaya na Mikoa!!
Waziri Jafo akisema tupige nyungu yupo sawa,yaani hayo ni mambo ya ngazi ya mwananchi wa kawaida kwa imani zetu!
Waziri Gwajima lazima apate kigugumizi kuhusu "Corona"!
 
Ni
Serikali kupitia kinywa Cha Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo imetangaza wiki ya watu kupiga nyungu inayoanza leo Jumatatu kama moja ya silaha ya kupambana UVIKO.

Ni baada ya kumalizika kwa wiki ya Sheria inayohitimishwa leo ambapo Rais Magufuli ni mgeni rasmi.

Swali langu ni hili. Vita ya UVIKO au Corona iko chini ya wizara ya Afya chini ya Waziri Dk. Gwajima. Kwa nini TAMISEMI ndio itangaze wiki ya nyungu na si Wizara ya Afya?

Je, Dk. Gwajima haamini katika nyungu? Pili, tunaomba maelezo ya kutosha ya namna ya kupiga nyungu maana ni rasmi kiserikali, si ushirikina.
kiherehere cha jafo.
 
Serikali kupitia kinywa Cha Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo imetangaza wiki ya watu kupiga nyungu inayoanza leo Jumatatu kama moja ya silaha ya kupambana UVIKO.

Ni baada ya kumalizika kwa wiki ya Sheria inayohitimishwa leo ambapo Rais Magufuli ni mgeni rasmi.

Swali langu ni hili. Vita ya UVIKO au Corona iko chini ya wizara ya Afya chini ya Waziri Dk. Gwajima. Kwa nini TAMISEMI ndio itangaze wiki ya nyungu na si Wizara ya Afya?

Je, Dk. Gwajima haamini katika nyungu? Pili, tunaomba maelezo ya kutosha ya namna ya kupiga nyungu maana ni rasmi kiserikali, si ushirikina.
Don't be silly. Jaffo ni Mzaramo, nyungu ni dawa asilia ya Kizaramo. Huyu Dr Gwajima atakuwa ni Mnyamwezi (Zanzibar watu wote kutoka Bara huitwa Wanyamwezi), dawa yao ni hiyohiyo lakini itakuwa jina tofauti. Au una maana gani, Dr Gwajima si alisema wametumua hizi dawa yeye na familia yote? Wewe kinakuuma mitanotena, pole, hukujua CCM ina majembe mengi tu. Watu tunajiuliza, hivi huyu mdada alikuwa wapi kugombea?
 
Serikali kupitia kinywa Cha Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo imetangaza wiki ya watu kupiga nyungu inayoanza leo Jumatatu kama moja ya silaha ya kupambana UVIKO.

Ni baada ya kumalizika kwa wiki ya Sheria inayohitimishwa leo ambapo Rais Magufuli ni mgeni rasmi.

Swali langu ni hili. Vita ya UVIKO au Corona iko chini ya wizara ya Afya chini ya Waziri Dk. Gwajima. Kwa nini TAMISEMI ndio itangaze wiki ya nyungu na si Wizara ya Afya?

Je, Dk. Gwajima haamini katika nyungu? Pili, tunaomba maelezo ya kutosha ya namna ya kupiga nyungu maana ni rasmi kiserikali, si ushirikina.

Gwajima na naibu wake mbona niliona nao wanapiga nyungu.... kama nchi tunaamini kwenye nyungu, ndio silaha yetu.
 
Mi nadhani TAMISEMI inahusiana na mambo mengi hususani katika nchi yetu nadhani pia kuna wizara nyingine zipo ndani ya mzaramo wa kisarawe kwaiyo usije kushangaa hata akatoa tamko kuhusu madini
 
Labda ndo Rais Ajaye Anaanza Kumulikwa mapema Kama ilivyokuwa kwa Mzee wa Burigi
 
Kwani Tanzania Kuna tofauti Kati ya daktari na Mwalimu? Tofauti hamna.
Wenzetu wataalam wao wako busy maabara wakitafuta chanjo na tiba ya uhakika ya COVID-19.
Wataalam wetu wako kiguu na njia, sokoni - jikoni, jikoni sokoni.
Kununua tangawizi na malimao.
Kuanzia lini limao na tangawizi vikaua virusi?
IDIOT
 
Back
Top Bottom