Recent content by Chinu

  1. C

    Wapinzani wajiandae kisaikolojia, takwimu hazidanganyi

    Mtoa uzi naona umetumia nguvu nyingi sana kuliko akili kama mgombea wenu wa kuwait.
  2. C

    Kwenye misafara ya CCM na UKAWA

    Katika misafara na mihadhara wanayofanya CCM watu wanaoonekana wengi ni wale waliovaa sare za ccm yaani kijani na njano tofauti na ya UKAWA ambapo wanaoonekana wengi wamevaa mavazi ya kawaida. Hii inaashiria nini?
  3. C

    Lowassa asafirisha watu kutoka mikoani kuongeza idadi ya watu wakati wa kuchukua Fomu

    Emb na nyie CCM tumieni hizo ela zetu walalahoi kuwalipa muone kama watakuja kwa mapadlock.. Kifo cha mende
  4. C

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    Unavyoongea hivi kura zote utapiga mwenyewe?
  5. C

    Msiudanganye umma kihivyo kuwa mzee Mkapa na mzee Msekwa wanawaunga mkono

    Hakuna mlevi kama Lowassa na ndo maana pombe imemfanya amepoteza network
  6. C

    Lowassa kusababisha ukosefu mkubwa wa ajira kuanzia Julai 2015

    Akikatwa itatusaidia tusiwe na raisi fisadi
  7. C

    Lowassa ni mwepesi mno: Amezoea kushindwa

    Hivi yeye mpaka sasa hajarudisha form? Au anatafuta wadhamini africa nzima.. Ajiandae kisaikolojia
  8. C

    Mpenzi wangu alinidanganya kuwa yeye ni bikira

    Mkuu niliongea nae anasema nimsamehe
  9. C

    Mpenzi wangu alinidanganya kuwa yeye ni bikira

    Mkuu ilikua ni siri yetu tu
  10. C

    Mpenzi wangu alinidanganya kuwa yeye ni bikira

    Rubii sio kwamba nataka bikira bana.sema kwa nini yeye alinidanganya
  11. C

    Mpenzi wangu alinidanganya kuwa yeye ni bikira

    Habari zenu wakuu, Nilikua na mpenzi ambaye tulidumu nae kwa muda wa miaka miwili. Katika kipindi cha mahusiano yetu sikuwahi kufanya nae mapenzi kwani aliniambia kuwa yeye ni bikira na kuwa nisubiri mpaka tuoane. Kwa kuwa nilimpenda niliamua kusubiri. Cha kushangaza juzi tu baada ya ndoa tu...
  12. C

    Hongera ITV kwa kusajili watangazaji na Ripota wenye weledi

    Si bora channel 10 kuliko tbccm!
  13. C

    Rais Kikwete: Katika utawala wangu nimefanikiwa kupambana na Ufisadi

    Naona umempata mzee yusufu.
Back
Top Bottom