Katika misafara na mihadhara wanayofanya CCM watu wanaoonekana wengi ni wale waliovaa sare za ccm yaani kijani na njano tofauti na ya UKAWA ambapo wanaoonekana wengi wamevaa mavazi ya kawaida. Hii inaashiria nini?
Habari zenu wakuu,
Nilikua na mpenzi ambaye tulidumu nae kwa muda wa miaka miwili. Katika kipindi cha mahusiano yetu sikuwahi kufanya nae mapenzi kwani aliniambia kuwa yeye ni bikira na kuwa nisubiri mpaka tuoane.
Kwa kuwa nilimpenda niliamua kusubiri. Cha kushangaza juzi tu baada ya ndoa tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.