Rome said "...aachiwe bila masharti"
mama akakimbilia msikitini na kwa Mwamposa kujifariji na mashehe ubwabwa na mitume feki.
Hii issue is too tall for her.
akiendekeza anayoambiwa na JK mtu ambaye hana hata uwezo wa kudhibiti tamaa za familia yake AMEKWISA!
Kwa hiyo Kikwete ndo anataka kujifanya Nyerere?
Mtu ambaye ameshindwa kudhibiti mke wake na mtoto wake wote kawaingiza kwenye uongozi.
Unadhani Nyerere alishindwa kuwaingiza watoto wake au mke wake?
Nyerer alijua Taifa hili lina mamilioni ya watanzania haiwezekani mkatengeneza uongozi wa...
Kwenye nchi hizi zetu masikini zilizokithiri ufisadi, ulafi, matabaka na ujanja ujanja mwingi, hakuna namna utafanikiwa kuongoza kwa kutumia demokrasia.
Ukiwa kiongozi sahihi na mwenye maono utalazimika tu kutumia udikteta ili kunyoosha mambo.
Ndiyo maana pamoja na risasi zake wananchi bado...
Tangia mwanzo Polepole alionesha tofauti na Mama. Hata kupewa ubunge na kutumwa ubalozi ilikuwa kama njia ya kumuondoa au kumyamazisha.
Polepole hakutofautiana na JPM kama ambavyo watz walio wengi hawakutofautiana naye kwa sababu JPM alikuwa na udikteta wa kuleta discipline serikalini na...
Watanzania wanahitaji Dikteta aina ya JPM sio Demokrasia aina ya mama. Ndio maana pamoja na list yako ndefu ya kumdermonize JPM, waliomchukia wanahesabika waliomkubali hawahesabiki na wameongezeka zaidi baada ya JPM kufariki.
Udikteta wa JPM ulikuwa na lengo la kuirejesha nchi kwenye discipline...
Kwa kweli hili jabali lilitulinda sana.
Lakini hili li Tundu Lisu hili hata ukilipa mabilioni halikubali.
We fikiria Abdul alivyotimuliwa na mabegi yake.
Kumbe ule msaada ilikuwa hongo?
kwamba akiona mihela ya Abdul inaharibu nchi amezee tu?
...kuna watu bora ukae na mihela yako tu. Huwa hawahongeki.
Mbowe sasa hivi anajilia mihela yake na wala hajisikii kuhukumiwa nafsi.
Ila Msigwa sidhani kama ana amani huko aliko - nadhani atakuwa anaugulia...
Hivi TISS inaweza kumdhibiti RAIS?
kwa sababu kama ni kweli basi TISS ina shida.
au wanaojaribu kumdhibiti ndo wanatimuliwa kama alivyotueleza Gwajiboy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.