Recent content by chingwanji.

  1. C

    Hivi ni kwanini wanaume wafupi wanaringa?

    Habari..Kwanza kabisa tunapoongelea ufupi tujuwe kila mtu ni mrefu na mfupi kwa mwingene..Kimo cha mtu kuitwa mfupi ni tafsiri ya jamii inayo wazunguka...Anaweza kuwa mrefu Njombe but akawa mfupi Uchugani hivyo basi Kama weusi walilivyo pigania ubaguzi wa rangi 😆 Nawafupi wanahaki ya kuchukia...
  2. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    Ushawai sikia kampuni kubwa mfano vodacom ama tigo wanatafuta graduate wa procurement?......Sasa unazani wanatafuta nini? Kama sio graduate mbona qualification ni za Proc....acha kukatisha watu tamaaa
  3. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    😁😁😁😁 Kuna sehemu nimesema sina kazi?? Sema sijaingia serikalini haimaanishi sina kazi dah Akili mu kishwa hamna kitu....Iyo NTA level 5 tunaangalia chance za utendaji tu ili tupate cheque number so kila anae omba ushauri na kuuliza humu unazani Kachoka hana kazi....ACHA AKILI NDOGO IYO🤣🤣🤣
  4. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    Hii kitu uliandika kwa kukurupuka mzee sio kila kitu unajuwa ...23 august Tigo wametoka kutangaza nafasi ya Procurement (SCM) Mda mwingine mfanyage na reseach sio kukurupuka tu kama hujuwi waache wajibu wanaojuwa.....
  5. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    Yani ndugu kujifanya unajuwa sana kumbe hamna kitu sheria kupindishwa ni kukosa uadilifu kwa viongozi ila haimaanishi procu haina maana serikalini..Why juzi tu wameanzisha mfumo mpya wa manunuzi wa NeST.... Oooh vodacom hakuna watu wa manunuzi Fuatilia utajua SCM ni akina nani😆😆😆😆
  6. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    Kumbe hujuwi tofauti ya public procurement na private procurement 😁😁😁😁😁
  7. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    Swali sio nani awezi kununua? Jibu ni je? Yakifanyika manunuzi holela nani wa kujibia?
  8. C

    Naomba anaejua kwanini Procurement imetengwa

    Habari wakuu, Mimi nimhitimu wa Diploma NTA level 5 katika chuo cha TIA Mbeya kada ya manunuzi na ugavi. Kama ilivyo siku hivi kazi zimekuwa adimu sana, kazi pekee zinazopatikana na zinatanganzwa mara kwa mara ni za AFISA UTENDAJI MADARAJA TOFAUTI. Moja ya kigezo cha kuitwa kwenye usaili Ni...
  9. C

    Si vizuri kuleta utani mtu anapoomba kazi hapa jukwaani, inakatisha tamaa

    Never give up[emoji885][emoji885] Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
  10. C

    Plot4Sale Tunauza shamba la ukubwa wa hekari 239.165

    Hlw guys.. Fursa ya shamba lenye ukubwa wa hekali 239.16 linauzwa; Location "SHAMBA LINAPATIKANA KWADOYA VILLAGE HANDENI DISTRICT" KATIKA SHAMBA HILO HEKALI 2 ZIMELIMWA MITI YA MITIKI.. DOCUMENT ZOTE ZIPO CALL US 0739248371
  11. C

    Nimepata kazi mshahara baada ya makato yote 250k

    Hongera sana mkuu..Hela haijawai kutosha cha msingi balance matumizi upate kibiashara maisha yanaenda..
Back
Top Bottom