Ofis zetu zipo mikochen .na kama tukikubaliana na mteja architectural designs huwa tunafanya na kumpa options pia tumejenga mbili zipo nyerere ..kama unahitaji maelezo zaid karbu PM asante
Kwanza kbsa ningependa kukueleza kuwa unaweza kujenga gorofa hata 10 kwa kutumia vyuma...na inafaida kubwa coz una save more than 30 to 40% ya material .pesa .na muda ukilinganisha na kutumia zege
Habari zenu wakuu najua mmekuwa mkiona majengo mengi ya chuma yakijengwa hapa mjini ila wengine hawajui yanatoka wapi na yanajengwa vipi so nawapa nafasi ya kuuliza chochote kuhusu majengo hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.