Kwa uzuefu wangu wa kuwa karibu na wauza mbao na mafundi furniture una options 2,
1.utafute mbao tofauti na mninga,wengi tumeaminishwa kuhusu mninga lakini kuna mbao kama mtondoro,mtiki,mvule na mkangazi, hizi zina bei nafuu ukilinganisha na mninga,ukipata fundi anafanya finishing vizuri na...