Recent content by Chinedu5

  1. Chinedu5

    Gen z wanasema tarehe 9 December wanakuja na silaha za moto

    Pia huko watu hawapigwi risasi wakiwa majumbani mwao
  2. Chinedu5

    Nimeombwa namba na sijatafutwa hadi mida hii

    Binafsi niliwah kuomba namba kwa pisi kaliii,nafika home nishasahau nme save kwa jina gani😂😂
  3. Chinedu5

    Ukiweka hela Benki miezi 6 bila kuitumia itakatwa kodi asilimia 10%

    Sasa kwa wafanyakaz,huo mshahara mpka ufike kwako tayari umekatwa kodi lukuki,tena ukikaa nao sana wanauchukua? Hawa mbona wezi hivi hawana huruma na watu😭😭😭
  4. Chinedu5

    Naunga mkono kufungiwa kwa kanisa la Askofu Gwajima

    Jambo au sentence gan mbaya aliyoiyumia gwajima dhidi ya mlaka/rais?
  5. Chinedu5

    Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

    Hizo elfu 7 mnazopewa per day zinamwishoo wake,huwezi kukemea utekaji alafu usimtaje mtekaji,na huyu mama hamumsaidii mnazidi kumuumiza maskini mpka namuonea huruma,vijana na nyie mnatumika kama pawn ♟️ tu
  6. Chinedu5

    Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

    Kama unatizama filamu za hawa watu,basi siasa za Tanzania utazielewa vizuri sana,na kama mfuatiliaji vizuri basi utaweza hata kutoa utabiri kinachofuata ni nini
  7. Chinedu5

    Naona mapema nitashindwana na huyu Single Mother

    Sasa mtoto wa miaka 5 unakuja na uzi, hivi ungedate na single mother mwenye mtoto wa miaka 22 ungefanyaje?
  8. Chinedu5

    Gwajima ni mjumbe asiye sahihi mwenye ujumbe sahihi

    Kwa tulipofikia sasa,hata shetani akijitokeza kupambana na dhulma na ukatili unaofanywa na watawala tutampa full support,njia pekee ya kumtenganisha gwajima na wananchi ni nyie sisiemu acheni kuteka na nmrudishe mliowachukua waungane na familia zao
  9. Chinedu5

    Embu tuchambue Siasa kidogo kutokana na haya matukio

    Labda kama umeanza kumfaham geajima juzi ndo utamuita "mganga njaa"... Lakini inawezekana kweli akawa ni "mganga njaa na anatafuta tiba ya njaa yake".... Waambie maboss zako WAACHE KUTEKA WATU NA KUUA DAMU ZISIZO NA HATIA
  10. Chinedu5

    Adui yetu sio ni CCM sio Uislamu

    Mimi ni muislam,lakini na support anachokipigania gwajima,yes anaweza akawa na chuki na waislam lakini kwenye hili tum support....waache kwanza kuteka na kuua watu kama kuku then tutarudi kwenye vita na yeye kwa nn ageuze msikiti uwe Sunday school
  11. Chinedu5

    Embu tuchambue Siasa kidogo kutokana na haya matukio

    Sitachangia kwa lisu sababu sijaona hoja yako kama ina mashiko, ila kwa upande wa Gwajima alikua wapi siku zote? Yes mtu mwenye akili timamu lazima ujiulize hili swali why now? Yeye ndo anamajibu sahihi zaidi, ila ukiangalia matukio ya utekaji kipindi hicho yalikuwepo ila sasa ni mengi...
  12. Chinedu5

    Pambano hili lisichukue mkondo wa udini. Kivyovyote Gwajima atashinda likipelekwa kidinidini

    Njia rahisi apo waambie mabosi zako wawarudishe waliowatena na mkome huo mchezo baasi
  13. Chinedu5

    DOKEZO Responded UDSM wamepigapigaje hapa kwa Tarimba Abbas, aliwezaje kusoma degree na masters ndani ya miaka miwili tu?

    Diploma "Netherlands" alafu 0-0 secondary school?? Hizi elimu za kuunga unga na degree za kikuda🚮
  14. Chinedu5

    Ushauri wa bure kwa Askofu Gwajima: Ukivuliwa nguo, ukabaki utupu! Ustaarabu ni kuchutama!

    Hoja ya Gwajima, "acheni kuteka na kuua raia"
  15. Chinedu5

    Nifanyeje Kupunguza Gharama za Milango?

    Kwa uzuefu wangu wa kuwa karibu na wauza mbao na mafundi furniture una options 2, 1.utafute mbao tofauti na mninga,wengi tumeaminishwa kuhusu mninga lakini kuna mbao kama mtondoro,mtiki,mvule na mkangazi, hizi zina bei nafuu ukilinganisha na mninga,ukipata fundi anafanya finishing vizuri na...
Back
Top Bottom