Najiuliza kama wanadema
Najiuliza kama wanasema myahudi anasaidiwa...kwanini wasiamue moja tu nchi zote mashariki ya kati wapige mitulinga kuelekea nazareth...maana mzayuni pamoja kuwa kadogo kuna kipindi wataacha hata kumchokoza....siwapendi Israel ila nafurahia dozi wanayogawa...
Mzee wa Glorious mke wangu anammaindigi sana kisa lile song la kuingilia...ila the viper amekuwa zilipendwa finishing yake ndo inakuwaga kipigo chake kwa mjanja mfano Rusev alimpatiaga sana.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.