Nina nyumba mbagala nzasa. vyumba 3 pamoja na masta, public toilet, dinning, sitting room na jiko.
Ipo hatua ya ukamilishaji.
Bei ni 38 milioni.
0787~341056
Heshima kwenu.
Nilikuwa nacheki habari nikaona kiongozi wa mbio za mwenge akiwa Babati anawataka wananchi wakichague chama tawala.
Ni katika kujua tu.
Asanteni
Wadau habari,
Mimi ni mgeni kidogo katika hili jukwaa.Kuna rafiki yangu ameoa na kujaliwa kupata watoto wanne,wameishi kwa amani kwa takribani miaka 8.
Sasa miezi kama mitatu iliyopita kuna tabia mke wake kaanzisha ya kuongea na mwanaume mwingine katika simu.Alipokutwa mara ya kwanza...
Nilihamisha pesa kupitia NMB kwenda M pesa ijumaa hadi leo sijapata kitu. Nimepiga simu huduma kwa wateja nmb wimbo ni subiri sibiri. Wahusika jirekebisheni kasoro hizi mtatukosa watumiaji wa huduma zenu
Hapa naona CCM imechemka kwani kumtumia barozi ambaye ni kuishiwa mbinu tusije tukawaita makamanda wa jeshi wa nje kisa kuwaaminisha bado tunapendwa, nilishuhudia mkutano wa Kishapu hakika CCM imepoteza mvuto na umakini.
Hapa naona CCM imechemka kwani kumtumia barozi ambaye kuishiwa mbinu tusije tukawaita makamanda wa jeshi wa nje kisa kuwaaminisha bado tunapendwa, nilishuhudia mkutano wa Kishapu hakika CCM imepoteza mvuto na umakini.
Wana bodi habari zenu? tafadhari naombeni mwenye uelewe na mfumo wa NACTE au TCU anijuze yafuatayo.
1. Higher Diploma ni sifa ya kielimu sawa na Adv Diploma.?
2. Kama ni sawa au sio sawa je mwenye sifa ya Higher Diploma aweza kusoma Postgraduate Diploma kwa mfumo wa elimu yetu hapa Tz?
3. Kuna...
Ninashaka na uamuzi wao kama ni kweli. Watu 150 wangeweza kufanya makubwa badala ya kujikabidhi kirahisi hivi. Mbona wanakoenda ahadi nyingi hazijatekelezwa? Tungetekelezewa yote tusingeshuhudia mgao UMEME
Kuna waziri alishasema kama walimu wanaona ualimu hauwalipi wafanye kazi nyingine zinazolipa naona wameamua kutekeleza kauli hiyo ya waziri. Na katika hiyo tume kila matendo/kauli za viongozi zilichangia kushusha ari za walimu na wanafunzi wawajibishwe mfano ..kupata minda kwa wanafunzi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.