Ushauri: Kuhusu kunusuru ndoa ya rafiki yangu

Ushauri: Kuhusu kunusuru ndoa ya rafiki yangu

Kama unamgonga akasikia na ukaina unatendea haki ile kitu unahaki ..ila kama unagusa suga my dear nimwonevu wewe
sio uonevu dadangu, haya mambo huwa ni magumu sana.....mwanamke hata umgonge katereroo... utamu ataupata haswaaa.... ila kama ni kiruka njia na mahaba alishaelekeza kwingine,,,, futa delete songa mbele....maisha hayasimami kama ukuni!!
 
sio uonevu dadangu, haya mambo huwa ni magumu sana.....mwanamke hata umgonge katereroo... utamu ataupata haswaaa.... ila kama ni kiruka njia na mahaba alishaelekeza kwingine,,,, futa delete songa mbele....maisha hayasimami kama ukuni!!

sawa baba ....
 
mwanamke usipojitambua utaachwa tu!!..... Kama umefikia hatua ya kuzaa watoto wanne bado unataka uendelee kugawa wuchi nani atakuthamin, nan atakuheshimu kama mke? Hapo lazma nikunyanyase balaa.

Nikuambie kitu my kaka....Sio kila mawasiliano tunayofanya nje lazima yaishie kugawa uchi. Naweza kuwa nakosa vitu vidogo tu na vyepesiii ila mume hawezi kunifanyia. Saingine ni vimaneno flani tu vya kichokozi. Mengine namalizia kwa mume.

Ndio maana utakuta mtu (iwe ke au me) ana ndoa ila yupo busy anachat na mtu yupo Kampuchea huko, hana mpango wa kuonana nae kabisaaa!!
Unajua anakua anatafuta nini???
 
Hivi kweli kweli unacheat niendelee kuwa na wewe, kila mtu chumba chake, hiyo ndo hatua ya kwanza then unafikiria wat next it's ur life. Uchague amani au vita.

Mbona nyie mnacheat?
So hata mwanamke kuteleza kama wewe inawezekana.
Tusipende kufanya maisha yazidi kuwa magumu.
 
Mbona nyie mnacheat?
So hata mwanamke kuteleza kama wewe inawezekana.
Tusipende kufanya maisha yazidi kuwa magumu?

dada angu, wala siyafanyi kuwa magumu,,, but mie ndo nilikuja kwenu kuleta posa.....na sihalalishi kucheat....ila hata kama ni vielelezo ambavyo havijakamilika......we close the deal..... tutaongea ya watoto tuu......let ask u,,, mbali na kucheat kama anaenda mlingotini kukuharibu akili na mipango yako,,,, but Mungu yupo on ur side then umeng'amua......hili jee??? tulee watoto bibie.....only that.....sihitaji wala vikao.......namaliza kimya kimya..
 
Kuacha ikulu yko inavamiwa huo ni udhaifu kama mwanaume lazima upambane......!!!!!
 
dada angu, wala siyafanyi kuwa magumu,,, but mie ndo nilikuja kwenu kuleta posa.....na sihalalishi kucheat....ila hata kama ni vielelezo ambavyo havijakamilika......we close the deal..... tutaongea ya watoto tuu......let ask u,,, mbali na kucheat kama anaenda mlingotini pkukuharibu akili na mipango yako,,,, but Mungu yupo on ur side then umeng'amua......hili jee??? tulee watoto bibie.....only that.....sihitaji wala vikao.......namaliza kimya kimya..

Kama hutajulia, unamnyanyasa, humtendei haki.... atakuloga tu ili ukae sawa.
Hajaja kwako kukaa kama mpishi tu.
 
hahahahahaaaa,,,, mna hatari nyie.... sasa nimejua ndo nakumwaga....
 
Upumbavu Huo.Umuache Mkeo Uliezaa Nae Watoto Wa4 Kwasababu Ya Simu Tu.Ya Kazi Gani Kujitia Presha Na Mwanamke Uliekwisha Mzalisha Watoto Wa4?.Amuache Na Wala Hata Simu Yake Hasiguse Hata Kama Akiiona Mezani Inaita.

Na Sio Simu Tu Hata Kama Angejua Anagegedwa Na Jamaa Wala Hasijisumbue Kumfatilia.Ili Mradi Uchafu Wake Haufanyii Ndani Kwake.Hakuna Haja Ya Kuangaika Nae.Amwache Akimaliza Mambo Yake Atarudi Nyumban Kulea Watoto.

Uzur na ukimwi atapata mwanamke pekee yake
 
Nikuambie kitu my kaka....Sio kila mawasiliano tunayofanya nje lazima yaishie kugawa uchi. Naweza kuwa nakosa vitu vidogo tu na vyepesiii ila mume hawezi kunifanyia. Saingine ni vimaneno flani tu vya kichokozi. Mengine namalizia kwa mume.

Ndio maana utakuta mtu (iwe ke au me) ana ndoa ila yupo busy anachat na mtu yupo Kampuchea huko, hana mpango wa kuonana nae kabisaaa!!
Unajua anakua anatafuta nini???

mkuu hilo unalosema linaweza ila ni kwa 0.001%. Lakn na hyo asilimia ikitokea wakakutana siku moja lazma watagegedana. Ukweli ni kwamba hakuna uraffik wa mwanamke na mwanaume unahusu kuchombeza na usiishie kwenye kuvuana. Hilo sio kweli. Sikatai hata mm naweza kuwa na urafik na mwanamke nikawa nachat naye tu lakn pindi tukija kuonana hapo itatumika mbinu lazma kuvuana kuchukue nafas
 
Asante sana kwa ushauri. Nimepata mawazo ambayo nikichanganya na yangu nitamshairu. Naamini ndoa yao itadumu. Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom