Recent content by chimbuli

  1. chimbuli

    Hospitali ya Taifa Muhimbili hushikilia maiti hadi deni lote lilipwe. Maiti zitokazo ICU deni hufikia hata zaidi ya 5mil

    Ifanywe kipaumbele cha taifa HUDUMA ZA AFYA BURE kwani Zanzibar wao wanaweza wana nini na sisi tushindwe tuna nini?
  2. chimbuli

    Hospitali ya Taifa Muhimbili hushikilia maiti hadi deni lote lilipwe. Maiti zitokazo ICU deni hufikia hata zaidi ya 5mil

    Kama kuna jambo sensitive ni serikali kutoa huduma za afya free Kila mwenye pumzi atapenda tufike maala tuone dhamani ya uhai
  3. chimbuli

    Hospitali ya Taifa Muhimbili hushikilia maiti hadi deni lote lilipwe. Maiti zitokazo ICU deni hufikia hata zaidi ya 5mil

    Yuko jirani yangu nae aliniadithia kuwa aliuguza binti yake akaagizwa dawa cha ajabu kazikabidhi anaambiwa subiri baadae anajulishwa binti yako kafariki na dawa ametoka kukabidhi, hajarudishiwa. Hakika inakatisha tamaa hii
  4. chimbuli

    Kwanini Ijumaa Kuu huwa ni mapumziko kwa shughuli za Serikali?

    Wapo wanaoamini ni mfumo kristo Ingawa hoja zao siziafiki
  5. chimbuli

    Anguko la Millard Ayo liko karibu sana

    Ujaelewa mzeebaba Matangazo n usibitisho kuwa habar zake n sensitive that's why watu wanamtumi a kimatangazo Binafs namsaluti sana dogo A na weredii Wa kaZi
  6. chimbuli

    Mwalimu Nyerere aliisuka 'System' ikasukika,tunaishi kwenye kivuli hicho

    Nchi haikumshinda njerere dadisi facts achana na propaganda Njerere alipenda ujamaa zaidi ya ubepali akabuni/wakabuni N.A.M. Ku sort out wababe Wa dunia lakini aliishi ulama a hadi mavazi yake yalisharabu UJAMAA na sera Alipoona ulamaa umezidiwa nguvu toka juu USSR Akamuweka mwingi ili...
  7. chimbuli

    Mwalimu Nyerere aliisuka 'System' ikasukika,tunaishi kwenye kivuli hicho

    Mkoloni alisuka systems za ubaguzi za elimu yahani waroma, waagrikana, kkkt, waislamu walitofautishwa kwa shule zao lakini uyu baba kaja kan'goa mfumo huo shule zote alinyanganya hakika anakumbukwa kwa ushujaa mwingi sana
  8. chimbuli

    Mwalimu Nyerere aliisuka 'System' ikasukika,tunaishi kwenye kivuli hicho

    Njerere iz ze champion of true revolution Alikuwa zaidi ya hatali Alikwamishwa sana na watu wake Wa karibu wenye uroho wa madaraka. # vita ya Uganda & Tanzania 1987 aliingia front mwenyewe hadi uwanja Wa kivita. Alikuwa na itikadi Kali aliwakatalia serikali ya kigiriki kumwachia mgiriki...
  9. chimbuli

    Wafanyakazi wa reli ya Standard Gauge wamegoma kufanya kazi leo

    Sijui mange anawalisha nini Angekuwa mwanaume angewageuza mashoga wengi sana vijana kama wewe Simamia misimamo yako
  10. chimbuli

    Wanawake wanaokojoa kwenye makopo usiku huwa wananitoa kwenye hamu ya mapenzi

    Alafu wakojoaji makoponi usiku hawaoshi k* wakimaliza sasa kazi inakuja ukitaka game harufu ya mkojo hadi kinyaa Inafika hatua unalazimisha ukojoe fasta sbb ya bud smell
Back
Top Bottom