huyo Teye nae dalali tu,anataka kula elf 20 ama 10 ya juu kwa kila gunia,bei anayokupa ndo bei wanayouzia wenye store dar,ye anasema ya jumla,sa we ukauze lak au? Wap wapo wateja wa kununua zaid ya elf 60,wakat mkaa wenye vibal toka tanga wanauza had elf 48 lombesa. Na sahz mkaa wa lindi mamlaka...