Anaetaka dada wa kazi

Anaetaka dada wa kazi

WEKA PICHA MKUU,alaf tuambie na specification na bei.specs km anamtoto,umri,kabila,tabia,elimu,n.k
 
Hamna shida Hornet nazani unahofo ya kuibiwa au kutapeliwa hii ni kutokana na mazoea ya watu humu ndani nliwaamia akuna mtu atakae chukua pesa ya mtu lia cha kufanya nakupa namba ya huyomdada na wala hatakuomba nauli utaonana nae na utamsaminisha kama anakufaa na kama mtakubaliana ni nyie wenyewe inamaana pesa utakayo mpa ni ile ya mshahara mtakao kubaliana na hiyo ni baada ya kukutumikia mwez mzima
 
Last edited by a moderator:
Hawa wafanyakazi wa ndani lazima muwe na records zao walipotoka.
Watu wanalia kila siku kwa kuchomewa michongo na majambazi.

We nenda pale Ubungo,kaa kwa muda kisha mtafute mama mmoja unaeona anasafiri mkoa husika,yaani kama unamuhisi ndio anarudi kwao kaja Dar kutembea,kisha muambie kwamba unahitaji mdada wa kazi.Basi haifiki wiki mbili akifika kwao atakuletea au kuku connect nae.
Ila kwa hawa wa Dar,ni majanga,sio wote,ila hawa wanaonadiwa namna hii ni wale waliopo kitengo maalum cha watu kufanya yao
 
Zanzibar space nimekuelewa kaka ila hawa mi nlikua nawajua kiundan na si kwamba nafanya kazi ya kutafuta madada na kuwasambaza hamna sema wao wanataka kazi ili waweze kujimudu kwa na walikua wawili nikaona niweke hapa na nashukulu mmoja kapata kazi lakin mwingine ye kaswma kazi za ndani hawezi labda za nje kamaa uuzaji wa bidhaa mbali mbali na sio kwamba ni wahapa hapa dar wametoka mikoani
 
Last edited by a moderator:
Mpige picha nyuma na mbele, tueleze anaumri gani, anajua kupika chapati au la.
Ana maadili au unataka aje atukosanishe na wake zetu.

Kumbuka wake zetu hawataki mashindano kwenye nyumba zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom