niliwahi ishi na mtoto wa cousin wangu, nikienda kazini analeta maden kwangu, wanakula na kupika msosi wote uliopo. Mungu saidia akapaa kazi serikalini, bado akataka aendelee kukaa kwangu, mimi hapo nina chumba na sebule na choo basi, yeye analala sebuleni na haoni tabu. ikapita miezi mitatu...
mimi nina project ninayoo ni ujenzi wa hotel, basi kuna huyo mama ni mkubwa sana kwangu ila ndo huwa ananiulizia sana progress ya project, sikuwahi kuwaza kwa nini anafatilia sana, juzi sasa eti ananimbiaje eeh sasa kwa nini unajenga hotel ukifa mume wako si atavichukua nikamwambia sifi katika...
we usimdanganye wafanyakazi wazuri ngumu sana kuwapata, atafute namna tu hata kama ni kufungia vitu chumbani, au kupika chakula kingi usiku then kinabaki kidogo cha mchana tu. vingine vyote stoo na ufunguo wa stoo unakaa nao
mshirikishe kuwa miezi ya hivi karibuni, unanunua chakula mara kwa mara maana hakifiki mwisho wa mwezi, mimi wangu kupenda tv Jamani,chakula ataunguza, basi kama anajaza maji yatajaa yatamwagika hana hata habari, mwezi wa kwanza tu kuanza kazi bili ilikuja 70000, nilimshirikisha ile bill ni...
ndugu au Ume target rambirambi, hudhuria sherehe kwa sababu tu unapenda, ila usifanye ni investment utakuwa disappointed big time, utashangaaa watakao kuwa pamoja na wewe sio hata uliowachangia
imagine unaachaje kumcontrol mtu hata hajui wajibu wake, bill za maji hajawahi lipa, chakula ananunua akijisikia, ada analipa robo napo mpaka umesemaa, kujenga sasa hawazi kabisa hela zake ni za ndugu zake na michepuko ebo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.