Recent content by chilumendo

  1. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Wengine tukitoa visa vyetu mtachoka kabisa hatari kabisa
  2. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Mtoa mada uko sahihi Haya mambo ni toka enzi
  3. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la Siasa Linapoteza Mvuto Tujenge Hoja, Tuache Taarabu

    Usichojua huyu naye ni chawa anapima upepo
  4. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la Siasa Linapoteza Mvuto Tujenge Hoja, Tuache Taarabu

    Utazungumza mengi lakini chanzo ni ccm wameua utoaji wa hoja. Zaidi ukiwapinga kwa hoja utapigwa risasi, utatekwa rejea ya polepole na lissu. Kwa msingi huo haya ndiyo matokeo yake. Nini kifanyike kwa mtazamo wangu nature itaamua
  5. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Siyo kwenye mtandao wa JF hata huku kijijini( mtaani) huku tuliko ccm haipendwi. Ulishawahi jiuliza ni kwanini hawataki tume huru, kama wanapendwa wanakataaje tume iliyohuru
  6. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan Hili la Humphrey Polepole Halitapita hivihivi

    Hilo tu ndiyo sababu ya watu waliowengi kuichukia ccm, ccm ni kikundi kidogo cha mafia hata hawa wapiga kelele( machawa) mitandaoni ipo siku watalia shetani hana rafiki. Polepole alikuwa kiongozi wao haingii akilini asiwepo hata mwana ccm yoyote wakumtetea, yaani hata wanaccm wanakiogopa chama...
  7. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Je, Kila Mwanasiasa Tajiri ni Fisadi?

    Hata bunge kutunga sheria itakayo wafavour mfano kujilipa allowance nyingi, kufanya tour zisizo na kichwa wala miguu rejea under seventeen final nao ni ufisadi.
  8. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Sasa unalinganisha chama cha mafisadi na cdm ambapo watu wanachangia cdm kwa kujificha wasijebambikiwa kesi za ugaidi
  9. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Siku za mwisho za Saddam Hussein na Maombolezo ya askari wa Marekani

    Hizo story viongozi wetu hawasomi
  10. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Nafungua Masikio Kumsikiliza Emmanuel Nchimbi, na Wengine Wooote wa Aina Hiyo Waliopo Huko

    Alishawahi pinga hadharani kamati kuu kumuengua lowassa
  11. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara, ukibweteka leo utastaafu kwa aibu. Waajiriwa wana mafao na pensheni kila mwezi, wewe una biashara pekee, pambana sana usije kuaibika

    Sasa hao wenye level hiyo wako wangapi ukilinganisha na watumishi. Kuna kipindi serikali ilitoa taarifa ya walipa kodi( wafanyabiashara) wanaotambulika hapa nchini hawakuzidi mil.4 hiyo inaonesha watanzania wengi biashara zao ni za kijungu jiko. Kumbuka kati ya hao wafanyabiashara wapo na...
  12. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Tunaweza kuwa tunazilaumu Kamati za Usajili bure kumbe Wachezaji 'Top Class' Afrika hii ni Adimu sana au Wameisha

    Uko sahihi Angalia yule doumbia ovyo kabisa
  13. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Vipi NMB, mbona App yenu inazingua?

    Nmb wamenikosesha dili baada ya kutuma fedha kupitia app na haikumfikia mlengwa
Back
Top Bottom