Utazungumza mengi lakini chanzo ni ccm wameua utoaji wa hoja.
Zaidi ukiwapinga kwa hoja utapigwa risasi, utatekwa rejea ya polepole na lissu.
Kwa msingi huo haya ndiyo matokeo yake.
Nini kifanyike kwa mtazamo wangu nature itaamua
Siyo kwenye mtandao wa JF hata huku kijijini( mtaani) huku tuliko ccm haipendwi.
Ulishawahi jiuliza ni kwanini hawataki tume huru, kama wanapendwa wanakataaje tume iliyohuru
Hilo tu ndiyo sababu ya watu waliowengi kuichukia ccm, ccm ni kikundi kidogo cha mafia hata hawa wapiga kelele( machawa) mitandaoni ipo siku watalia shetani hana rafiki.
Polepole alikuwa kiongozi wao haingii akilini asiwepo hata mwana ccm yoyote wakumtetea, yaani hata wanaccm wanakiogopa chama...
Hata bunge kutunga sheria itakayo wafavour mfano kujilipa allowance nyingi, kufanya tour zisizo na kichwa wala miguu rejea under seventeen final nao ni ufisadi.
Sasa hao wenye level hiyo wako wangapi ukilinganisha na watumishi.
Kuna kipindi serikali ilitoa taarifa ya walipa kodi( wafanyabiashara) wanaotambulika hapa nchini hawakuzidi mil.4 hiyo inaonesha watanzania wengi biashara zao ni za kijungu jiko.
Kumbuka kati ya hao wafanyabiashara wapo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.