Recent content by chilumendo

  1. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Miye nina kg 92 nahaingaika ni mwaka wa 3 huu ikipungua ni kg1
  2. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wote wafanyabiashara ya mazao njooni Mpanda kapanga (Mwese)

    Ningepata mpunga ingependeza zaidi
  3. chilumendo

    JamiiForums Tanzania CCM Ni utamaduni, ukilelewa kwenye vyama vya upinzani hutapaweza!

    Mbona yuda na simai wameweza?
  4. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Nikisema wabunge wa CCM hawajielewi, nitakuwa nawatukana?

    Siyo huyu ni mlugo alikuwa naibu wizara ya elimu
  5. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Nikisema wabunge wa CCM hawajielewi, nitakuwa nawatukana?

    Halafu anatokea mjinga mmoja anasema Tanzania tunasonga mbele
  6. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: Nilimuuliza Rais swali gumu wakanifungia kufanya kazi ya uanahabari

    Anawafukuza wenye vyeti feki huku yeye ameiba uchaguzi sijui mwinzi mkuu ni nani
  7. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: Nilimuuliza Rais swali gumu wakanifungia kufanya kazi ya uanahabari

    Sasa kwa mtazamo wako swali alilouliza ni gumu au jepesi?
  8. chilumendo

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Nikajua DMO ndiyo amempiga kumbe ni mfanyakazi mwenzenu hapo kituoni amempiga mpeni dawa za maumivu zitasaidia
  9. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Jonathan Abayo: Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyamakokoto ambaye ni role model wa wakuu wote wa shule wilayani Bunda

    Nchi hii nao ukuu wa shule ni deal mpaka ulete jukwaani
  10. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Kwa kifupi: Hakuna mtu aliyezaliwa na nyota inayomfanya awe bora kuliko mwenzake

    Hivi mtoa mada unajua kuwa binadamu wapo slow lerner, moderate lerner na fast lerner. Majibu ya swali hili yataleta swali la pili
  11. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Chawa wenyewe wamebaki kusema ametangaza kiswahili bila kujali aina ya jibu
  12. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni swali lilikuwa gumu bila kumuuliza chatgpt hutoboi hata angeulizwa kwa kiswahili kwa uelewa wa samuya ni sawa na kumtwisha gunia la misumari
  13. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Kumeanza kuchangamka na YUDA ISKARIOT

    Watamponza mzee wa watu, yaleyale ya Lowassa ulipo tupo
  14. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Nje ya muungano....!

    Kwa uliyoyataja hapo juu Tanganyika inanyonya au inanyonywa
Back
Top Bottom