Recent content by chilumendo

  1. chilumendo

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Uraji wa mafuta let say lita 1 km ngapi Niko kwenye kusaka gari la kutembelea
  2. chilumendo

    Inasikitisha Jinsi Njaa na Tamaa Zinavyochafua Taifa: "Recharging Hope" Wameanika Mizengwe ya Rushwa waliyoikuta Tanzania

    ukiwa serious nchi hii unaugua ugonjwa wa moyo mtu anapata cheo kikubwa tu kwa kazi ya uchawa hapo kuna nchi kweli au ni mfano wa nchi
  3. chilumendo

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Kwa mtu ambaye hajawahi uguliwa na mtu wake ugonjwa seriuos atambishia huyo mwamba hospitali zetu choka mbaya hazina wataalamu wala vifaa. Juzi nimempoteza baba yangu mzazi hospitali ya rufaa mbeya kimzaa tu tulikuwa tumeagizwa tumtafutie chakula tunarudi mzee wetu hajitambui baadaye amefariki...
  4. chilumendo

    Wanawake Lindeni Afya Zenu

    Niko kijijini huku kuna kibaa mshezi mwenye hiki kibaa ameleta mabamedi saba kwa ajili ya kujiuza unajiuliza hawa wanakijiji hata kuoga hawaogi sijui hawa mama zetu wanapata raha gani. Maoni yangu nadhani wanawake wa kiafrika kuna jambo linamiss kichwani mwao
  5. chilumendo

    DOKEZO Waandishi wa Habari na Media Tanzania, tunateseka sana! Kosa moja, hukumu mbili, kupitia Sheria mbili, Mamlaka mbili Tofauti!. Ni Haki? Tufanyeje?

    Hivi Pascal Mayalla yule balile mlimchagua nyie kama kiongozi wenu kama mlichagua nyie basi kwenye kada yenu kuna machawa wengi. Kada ya sheria wanajitahidi sana viongozi wao wanaowachagua waliowengi ni wapigania nchi tuitakayo
  6. chilumendo

    DOKEZO Waandishi wa Habari na Media Tanzania, tunateseka sana! Kosa moja, hukumu mbili, kupitia Sheria mbili, Mamlaka mbili Tofauti!. Ni Haki? Tufanyeje?

    Pole sana kiongozi watanzania wazalendo wapo wengi tu shida iliyopo ni chama tawala hawataki reforms na sisi watawaliwa tuko kimya, jeshi liko kimya lisu yuko nyuma ya nondo. Kwa maoni yangu kwa kile kilichotokea tr 29 mwaka jana hawa jamaa hawawezi kufanya reforms tusubiri labda kizazi cha...
  7. chilumendo

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Kasema kweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
  8. chilumendo

    Naombeni ushauri ninunue gari ipi

    Changamoto yake nini kiongozi maana miye ninajichanga mwisho wa mwaka niwe nayo
  9. chilumendo

    Kama kweli Ayatollah wamemla kichwa, basi hao Wairan kichwani hamna kitu kabisa!

    Halafu anatokea mtu kutoka nchi ya kajamba nani anasema "who are you"? Sijui huwa wamevimbewa nini mpaka kusema maneno hayo au tupistol tunawadanganya
  10. chilumendo

    Family planning ni kitu muhimu sana hasa kipengele cha idadi ya watoto

    Si muumini wa watoto wengi malengo yangu ni watoto 3 Tumezaliwa wengi najua changamoto ya kuwa wengi na wazazi wakiwa na uchumi legelege
  11. chilumendo

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Hizo taarifq zimepatikana kupitia nani na zilipatikanaje
  12. chilumendo

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Mmmh haya yana ukweli? Au ni hekaya tu
Back
Top Bottom