Huwa nashangaa watu wanaoamini kuwa ccm ijinyonge kwa kuleta katiba mpya hilo msahau rejea maneno ya nchimbi bila kusahau samuya ya kusema katiba haileti ugali/ haina maana.
Acheni utani sasa mama atajibu nini
Mnataka kumuonea mama wa watu, huyu anayesema mafuta yanauzwa dola 800 kwa lita huko uzunguni aya kwa mfano ameulizwa una akili timamu huoni kuwa mama itaonekana anadhalilishwa hiyo ni never ever hawezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.