Recent content by chilumendo

  1. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Mchefu mchafu wa wauza magari kwa sasa

    Asante kiongozi
  2. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Kuweka sahihi zenu siyo shida. Kuna sehemu ya muhtasari ambapo amejimegea mali za marehemu
  3. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Wanaume wanao wahi kufika kileleni wakamatwe

    Hiyo tabia ya kumrishisha mwingine imeanza lini. Hizo dk nyingi unasaka nini kama siyo kujichosha tu
  4. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Mapya yaibuka, Mali za Gertrude Rwakatare. Watoto wake waingia kwenye mgogoro mzito

    Sijui waafrika tulikosea wapi
  5. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Miaka nane hesabu za Simba hazijawekwa wazi

    Fedha zinazokusanywa kupitia milangoni, mikataba inaenda(ga) wapi mpaka mo anadai
  6. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Sioni uwezekano wa kupata Katiba mpya kufikia 2030, asimulia mawasiliano na Nchimbi kabla ya kuondolewa CCM

    Nchi ngumu sana ngoja nile dona yangu nikapumzike huku nikisubiri niiage dunia
  7. chilumendo

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Kumbe ni emmanuel Kakoti
  8. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu Imetufundisha Nini.? | Kwa Nini Haki, Demokrasia na Uchaguzi Havipaswi Kuwa Kapu Moja na Mwenye Maslahi ya Kisiasa

    Huwa nashangaa watu wanaoamini kuwa ccm ijinyonge kwa kuleta katiba mpya hilo msahau rejea maneno ya nchimbi bila kusahau samuya ya kusema katiba haileti ugali/ haina maana.
  9. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Al Badir ni utapeli. Kwanini msimsomee Netanyahu

    Unaamini ujinga wa uchawi wa kidini
  10. chilumendo

    JamiiForums Tanzania KERO Nimetibiwa Zahanati ya Chuo Kikuu cha MUST, Mganga Mkuu anasema nilipe kwa Lipa Namba yake, hii ni sawa?

    Nchi ngumu hii mambo ya urefu wa kamba yake. Hapo uwe makini unaweza kuanza kufuatiliwa
  11. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Cross - examination kati ya Lissu na Samuya itakuwa hivi

    umetembea mulemule
  12. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Tusichukulie Kirahisi, Rais Samia anaweza kufika Mahakamani kuwa prove wrong. Hivyo Lissu ajiandae kisawasawa

    Acheni utani sasa mama atajibu nini Mnataka kumuonea mama wa watu, huyu anayesema mafuta yanauzwa dola 800 kwa lita huko uzunguni aya kwa mfano ameulizwa una akili timamu huoni kuwa mama itaonekana anadhalilishwa hiyo ni never ever hawezi
  13. chilumendo

    JamiiForums Tanzania Wauza magari wa bongo, wengi hawapaswi kuwa car dealers hawayajui magari kabisa

    Ukisikiliza kesi ya lissu inavyoendeshwa utachanganyikiwa zaidi
Back
Top Bottom