Kwa mtu ambaye hajawahi uguliwa na mtu wake ugonjwa seriuos atambishia huyo mwamba hospitali zetu choka mbaya hazina wataalamu wala vifaa.
Juzi nimempoteza baba yangu mzazi hospitali ya rufaa mbeya kimzaa tu tulikuwa tumeagizwa tumtafutie chakula tunarudi mzee wetu hajitambui baadaye amefariki...
Niko kijijini huku kuna kibaa mshezi mwenye hiki kibaa ameleta mabamedi saba kwa ajili ya kujiuza unajiuliza hawa wanakijiji hata kuoga hawaogi sijui hawa mama zetu wanapata raha gani.
Maoni yangu nadhani wanawake wa kiafrika kuna jambo linamiss kichwani mwao
Hivi Pascal Mayalla yule balile mlimchagua nyie kama kiongozi wenu kama mlichagua nyie basi kwenye kada yenu kuna machawa wengi.
Kada ya sheria wanajitahidi sana viongozi wao wanaowachagua waliowengi ni wapigania nchi tuitakayo
Pole sana kiongozi watanzania wazalendo wapo wengi tu shida iliyopo ni chama tawala hawataki reforms na sisi watawaliwa tuko kimya, jeshi liko kimya lisu yuko nyuma ya nondo.
Kwa maoni yangu kwa kile kilichotokea tr 29 mwaka jana hawa jamaa hawawezi kufanya reforms tusubiri labda kizazi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.