Wakati fulani nilienda dukani kununua kifaa fulani, mwenye duka akanipa boksi likiwa na kifaa ndani lakini boksi lile lilionekana kufunguliwa(alidai kuna mteja alinihitaji kuona bidhaa kwa makubaliano angeinunua ila hakufanya hivyo) kwa hesabu za haraka kununua bidhaa boksi likiwa limekwisha...
Focus kwa sasa,acha kuliongelea hili swala sana,,naamini utafanikiwa,,,,si unajua hata manzi ukimuongelea sana anajua unampenda ,,relax mkuu ,kula vizuri,zoezi kidogo,,inawezekana
Nilikuwa nmekuandikia ushauri fulani kimaelezo ni wa ajabu kidogo,ila aliyenifundishaga alidai kwake hiyo ni mbinu pendwa ya kusitisha au kusahau vitu au watu fulani (ila hakuwai kunambia kama hiyo mbinu inawez fany akasahau watu anaowadai ,jokes) bahati mbaya mtandao ulikuw low reply ikafeli...
Mkuu ni bora umeliona hili swala,,hizi imani za kusema aina ya kifo alichoondoka nacho marehemu fulani ndicho alichopangiwa ni upuuzi fulani wa ajabu mno,,hakuna uthibitsho wa moja kwa moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.