Recent content by Chillo97

  1. C

    Vijana tuna la kujifunza kutoka kwa Lissu

    kwani tz hakuna amani!? na mna maendeleo gani !?
  2. C

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu kama unajinasibu unanusa ufisadi, muulize Mbowe michango ya Wabunge iko wapi?

    Sasa amuulize nini. wakati yeye ni makamu mwenyekiti anajua matumizi yake.
  3. C

    Kwa Jinsi Rais Magufuli alivyotangaza mambo ambayo Mkapa alifanya naona kila kitu cha maana leo yeye ndio alianzisha

    kuna watu wanamfananisha jpm na nyerere wakati hajafikia hata nusu ya mambo yaliyofanywa na mkapa.
  4. C

    Rais kaonesha udhaifu kwenye eneo la uteuzi

    Wengi hawaelewi hili.
  5. C

    Masele Mbunge wa Shinyanga mjini uliyataka mwenyewe!

    kwani lowasa si yuko ccm na juzi alimdhamini mheshimiwa sasa mnamhukumu vipi masele wenu kwa kuwa upande wa lowasa 2015 kenge nyie
  6. C

    Nilioyaona Moshi Mjini

    wacha ujinga uchagani hakuna matatizo. matatizo yako usukumani. hawana maji. shule mbovu. barabara shida. umasikini wa kutupwa
  7. C

    Sekula mpya ya uchangiaji huduma za Bima ya Afya ni Mwiba kwa wafanyakazi

    si wanasema huyu rais hajawahi tokea tangu ilimwengu uanze. na wengine wameenda mbali zaidi na kumfananisha Mungu wetu. (Yesu kristo)
  8. C

    Uchaguzi 2020 Fomu za kugombea Ubunge CCM zinatoka lini?

    nimesikia ya urais bashiru katoao form moja.! anayetaka fomu nyingine akatoe copy kwa jpm
  9. C

    Nani anamfadhili mtu huyu?

    aliyeandika hii atakuwa ni askari police
  10. C

    Mkuu wa Wilaya Kisarawe kiwe ni kipimo cha Wakuu wa Wilaya na Mikoa?

    kwani kazi ya dc ni kupambana na chadema.
Back
Top Bottom