Recent content by chilemba

  1. C

    Updates: Yanayojiri CC ya CCM

    hapa ndiyo nafasi ya diamond kuchukua nafaisi ya bend ya ccm. 2015 ocober
  2. C

    Tume ya Uchaguzi yapiga marufuku Elimu kwa Umma kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya

    ni sheria gani inatoa msharit ya taasisi za kutoa elimu juu ya katib pendekezwa kuomba vibali? au ni muhemuko tu wa Hutu jaji ili kujipendekeza kwa ccm.
  3. C

    Tume ya Uchaguzi yapiga marufuku Elimu kwa Umma kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya

    hii sio serikali ni Sirikali. kila siku kituko
  4. C

    Majambazi yavamia kituo na kuua polisi wawili Ikwiriri Rufiji

    haya ndo matokeo ya kutoa ajira za jeshi kwa kuangalia we we no Mtoto was nani. hata kama huna vigezo. kuna tupolisi tungine hata ukikaona tu hakawezi hata kuwa askali jamii. lakin kwasababu Mjomba in kigogo kinapewa nafasi.inauma sana. wacha wapigwe tu.
  5. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo wilaya ya BUhigwe (Kigoma) mwalimu shule ya msingi Mgogo, nina miaka miwili kazini, natafuta mtu wa kubadilishana yeye aje huku mi niende kati ya mikoa hii, Iringa, Njombe na Mbeya, atakaye kuwa tayari tuwasiliane PM
  6. C

    Natafuta kazi ya kufundisha History , Language, Kiswahili

    tunapita katika matatizo kibao na tofauti kwa hiyo msinishangae kutokwenda chuo mwaka huo.
  7. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi. yeye aje huku kigoma wilaya ya Buhigwe shule ya msingi Mgogo. atakayekuwa tayari kutoka mikoa ifuatayo, Mbeya, Sumbawanga(rukwa), Njombe na Iringa.tuwasiliane kupitia pm:hail:
  8. C

    Natafuta kazi ya kufundisha History , Language, Kiswahili

    nimehitimu form six 2009 mchepuo wa HKL, nina division one point 6, napatikana mkoa wa Tabora
  9. C

    Dear Nyerere!

    Dear Nyerere; ulituacha tuna tv moja tu RTD, lkin sasa tuna Efm, mbaya zaidi tuna cloud fm. ulituacha tuna watangazaji wenye sifa lakini sasa hata Kibonde ni Mtangazaji.
  10. C

    Nimekutana na article hii nzuri by Vitali Maembe

    yupo smart sana msanii huyu, tofaut hawa diamond et wzee wa zamani wlinena kuchapiwa demu ni siri ya ndani. huyu kweli anamaono kweli
  11. C

    Nimekutana na article hii nzuri by Vitali Maembe

    dah vitalis jembe sana ,nimewahi kutana nae kwenye hafla fulani alitupa kipande cha hii hotuba yake
  12. C

    Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

    kwa sababu hawana kitu (hawamiliki chochote):hail:
  13. C

    Jukwaa La Katiba: Zakia Meghji alipiga kura kama Mjumbe wa Zanzibar

    nipo kimya kusubiri mwisho wake. we are moving with no direction. a driver hve lost the way a long time a go, but we are still in motion.
  14. C

    Mrisho Mpoto atangaza nia kugombea ubunge Ubungo Atamng'oa Mnyika?

    usafi wa mnyika unamfanya Mpoto aonekane Mchafu,
  15. C

    Mrisho Mpoto atangaza nia kugombea ubunge Ubungo Atamng'oa Mnyika?

    Bangi bhana, alianza Afande sele, akaja Prof.J, akafuata Kalapina, nawengine wengi hawa wasaniii siwaelewi ni kitu gani kimewasukuma kufanya hivyo kila mtu anatangaza nia, wanataka kuwa na bunge lao wenyewe, Wataweza kama Bongo Muvi tu imewashinda ikiwa chini ya huyu kiongozi wao so called...
Back
Top Bottom