Pole sana mkuu, kiukweli hii biashara haifai ni ngumu sana kuliko jinsi wamvoielezea wahusika.
Hii ni kama pyramid scheme, walionza mwanzo ndo wataendelea kunufaika na ni wachache sana ndio maana hata mifano inakuwa michache sana.
Kama una malengo na huyo mwenza wako mtoe kwenye hiyo biashara...
Kwa mdada kama Sky eclat, kumuuliza maswali ya kipuuzi kama hayo ni kujidhalilisha mwenyewe.
Huyu dada yuko smart kichwani, ni mtani wa watu, mcheshi na hajiskii kabisa(simple).
Hivi unawezaje ukawa na tatizo na mtu kama huyu??
Nadhani mtoa mada ni wivu tu na umasikini ndo unaokusumbua...
Haya kila la kheri mkuu, Mungu akufanyie wepesi upate haja ya moyo wako.
Usiache kumtafuta Super Woman 2, mtoe out msikilize mwazo yake unaweza ukashangaa.
Kama ni Company, hiyo inahitaji usimamizi tu hivo ukipata mwanamke anyejielewa ataweza hiyo kazi vizuri huku unamsaidia mambo madogo...
Basi best atakuja mwingine labda bahati siyo yako.
Mi nina mchumba tayari na tumetoka mbali sana, ningekuwa single ningekuchua wewe mtoto mzuri nikoe nikiweke ndani tujenge familia bora.
Kaka jaribu kuwasiliana na huyo dada mfahamiane huwezi jua labda ukakuta ana qualities unazozitaka.
Kuna wanawake hawakupata bahati ya kusoma kufika elimu ya juu kwa sababu mbali mbali kama ukosefu wa fedha.
Unaweza kuta ni mtu smart sana ukashangaa, akakupenda akakutunzia heshima yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.