Embu shaurini sio mwapopoma tu,mtu kama anajijua ni kawaida yake kulala kwenye gari angesema before sio ana make promise kwamba atanicompany safari yote mwishowe analala tu,halafu vya kufanya sio kuparamiana tu vipo vingi tu
Wakuu,
Nina mgogoro wa nafsi hapa naona bora niwashilikishe kwa mawazo yenu.
Mchumba/kidoshodosho wangu kanikwaza kweli leo.Tulisafiri wote kutoka Mtwara kuja Dar na basi ya Tashrif.
Tulipanga mengi ambayo tutayafanya tukiwa safarini ili kufanya penzi letu liwe mubashara hadi nilishikwa na...
Wakuu mimi ni 1st year UDSM/COET.
Kama title inavyojieleza naomba nifahamishwe sehemu za kwenda kupata msosi pale mabibo hostel,siwezi kaa campus hata nikipangiwa napenda kaa mazingira mbali na chuo hivyo ni mabibo hostel.
Naomba nifahamishwe machimbo ambayo naweza pata chakula quantity 1st then...
mdogo wangu jaribu kubet labda mwaka wenu but kwa miaka hii ya karibuni na experience yangu huwez kupata kwani kwa mwaka jana mwisho ni division 1 ya point 7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.