Lello199
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,385
- 3,555
Kwa mama kifusi, mama ndumbi wote hao cha mtoto. Kuna mama anaitwa mama Zinduna aseee uyo ndo kiboko.
Hujakosea mkuu kwa kinazinduna unakula mpaka mwingine unabeba kwenye rambo
Kwa mama kifusi, mama ndumbi wote hao cha mtoto. Kuna mama anaitwa mama Zinduna aseee uyo ndo kiboko.
Kwa mama kifusi, mama ndumbi wote hao cha mtoto. Kuna mama anaitwa mama Zinduna aseee uyo ndo kiboko.
hahaha dah 1st yr bhnWakuu mimi ni 1st year UDSM/COET.
Kama title inavyojieleza naomba nifahamishwe sehemu za kwenda kupata msosi pale mabibo hostel,siwezi kaa campus hata nikipangiwa napenda kaa mazingira mbali na chuo hivyo ni mabibo hostel.
Naomba nifahamishwe machimbo ambayo naweza pata chakula quantity 1st then quality inafuata au kama kuna sehemu naweza weka hata bill ya ukoko mnijuze tafadhari
Sema hata kama kuna sehemu kuna msosi mkali nijuzeni maana siku moja moja kula vizuri si vibaya.
Nawasilisha
Mkuu sema hilo chimbo lilikuwa mbali kidogo afu mpaka uwe mjanja...Daah nimepamiss sanaKwa mama kifusi, mama ndumbi wote hao cha mtoto. Kuna mama anaitwa mama Zinduna aseee uyo ndo kiboko.
Mkuu ulijiita kifusi kabisaa hahaaa msalimie mama kifusiKWA VIJANA aseeee.... pale mwisho wa matatizo, kuna vikolokolo vingi
RB
Tambi mixer maharage au nyama
Viazi mbatata
Pilau + kachumbari
.
n.k
kuna kula hapo hapo au safari.....
KW MAMA K....
KWA MPEMBA.....
KWA JENIFER......
etc etc.... chimbo ni nyingi mnoo... ni ww tuu na buku yako tuu...
.
yawezekana ukapata mzuka wa kula cafeteria ya ndani na imani utajutia ela yako na hautakaa kula cafe ya ndani labda kwa dharura ...
.
ila andaa nyayo hizo kwa ajili ya shuttle pori hasa kwny mapindi ya jam km vile DS, CL, CT, EF, etc kwa wale wa education.....
......karibu bibo kwa wa......
Hahahahaha umetisha mkuu, dah katoto ka darasa la 6 majamaa walikua wanakiyumbushaAisee... Umenikumbusha hako ka Zinduna nilitaka kukagonga Dada yake akashtukia.