Kaniboa sana, ushauri tafadhali

Kaniboa sana, ushauri tafadhali

Hivi, umepata malezi gani ambayo hayahusu heshima kwa jamii inayokuzunguka.

Ulitaka muwape picha gani abiria mliokuwa nao safarini?

Utakuwa kivulana tu. Mwanaume hawi hivyo. Hatarajii kufanya mlichopanga kama vile hiyo safari haina mwisho.

Grow up.
 
Kwa hyo ulitaka ugeuze chombo cha usafiri wa Uma chumbani?
 
Embu shaurini sio mwapopoma tu,mtu kama anajijua ni kawaida yake kulala kwenye gari angesema before sio ana make promise kwamba atanicompany safari yote mwishowe analala tu,halafu vya kufanya sio kuparamiana tu vipo vingi tu
 
Kuna watu sijui mmejambwaaaa!!!
 
Back
Top Bottom