Hili jambo mi nilishawahi kusema hapa kundini watu hawakunielewa
Labda ni Kwa namna nilivyo liwadirisha.
Mi naona Kwa jinsi muungano ulivyo ebu tufute serikali ya Zanzibar tubaki na Tanzania
Zanzibar ibaki mikoa kama ilivyo kigoma, Kilimanjaro n.k
Habari wana jamvi,
Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.
Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya...
Binafsi nimekuelewa vizuri.
Hata hivyo tayari tumesha sikia habari kutoka kwa watu wa karibu inaonekana huyu jamaa baba yake alikua anamiriki migodi baada ya kifo Cha babaake ndugu wakagawana majukumu ya kusimamia mali za familia,.
na yeye alipewa jukumu la kusimamia mgodi uliopo mkoa wa...
Kikwetu tunasema ingoma inogilee.
Mi naomba niulize swali kwani Alie peleka majina ya hawa wabunge 19 NEC bado chadema hawajampata?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.