Mkuu ana maana uchaguzi gani wakati hao akina mdee na chama chao wameafikiana kutoyatambua matokeo yake?Kwani wewe hukuwepo hapa nchini mpkaa unauliza uchaguzi gani?
Spika akiwafundisha chadema sheriaCHADEMA leo wamesema wanaenda mahakamani.
Spika leo kawaambia CHADEMA waende mahakamani.
Sasa nimeanza kuwaelewa!
Nimeamini wagogo urais marufuku, ndugai ameonyesha mfano mbaya kwa wagogo kuvunja katiba waziwaziNdugai atakuwa na tatizo kichwani siyo bure
Utaratibu hauko hivo, mwanachama akifukuzwa, spika anaitaarifu tume ya uchaguziNi baada ya NEC kumtaarifu Spika. Sema mambo yalienda fasta sana
OkayUtaratibu hauko hivo, mwanachama akifukuzwa, spika anaitaarifu tume ya uchaguzi
Unamaanisha hata baba Msekwa pia alikua hajitambui kusema kisheria hawana haki ya kuwa wabunge?Ushauri waheshimiwa wabunge na viongozi wa bunge chapeni kazi achaneni na kelele za vijana wa bavicha, kazi hii mtuachie sisi tunaoona utendaji uliotukuka katika awamu hii ya 5
#maendeleo hayana chama
Msekwa Yuko sahihi 100%Unamaanisha hata baba Msekwa pia alikua hajitambui kusema kisheria hawana haki ya kuwa wabunge?
Kwenye swala la kulinda katiba hatupaswi kuwa na simile na watu Kama kina ndugaiMambo ya aibu!Katiba inasema kuwa chama cha siasa kikishamvua uanachama mbunge basi speaker anatakiwa kumfutia ubunge mbunge huyo ila yeye anang'ang'ania hadi apokee amri kutoka NEC au mahakamani,yaani anatembea na katiba yake mfukoni!
View attachment 1644727
Kikwetu tunasema ingoma inogilee.Spika Ndugai amesema aliwaapisha wabunge 19 wa CHADEMA baada ya kupokea majina kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na pia kuyasoma majina hayo katika Gazeti la Serikali...
Kikwetu tunasema ingoma inogilee.
Mi naomba niulize swali kwani Alie peleka majina ya hawa wabunge 19 NEC bado chadema hawajampata?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile ap
Sababu kuu ya katiba kuvunjwa kiholela ni hii hapa!👇Kwenye swala la kulinda katiba hatupaswi kuwa na simile na watu Kama kina ndugai
....kigumu chenye ncha kali au...?Spika alipokua anaongea haya kuna kitu kigumu alikua amekalia
Keshajua kachemsha, kwa hiyo mikelele anajitahidi kutafuta kuungwa mkono na li Jiwe.Hivi kwanini Ndugai anaweweseka ? Kama anawahitaji aendelee nao tu , Chadema ishawavua uanachama , na Katiba ya Tanzania inawataka wabunge wawe wanachama wa chama cha siasa .