Hawa wa chadema aslia vs chadema pesa tunawajuwa.wapo wengine ndani ccm.lakini wapo wengine wamefichama nyuma ya pazia!kwa kweli vyombo vya JK havitutendei haki waTz pamoja na kwamba wanachi tunakamliwa mno for their wellbeing!JPM fanya kweli ili hata hili lundo la vijana waelewe enzi za JKN...
ni kiasi cha kurudi kuangalia madafu kiduchu aliyouziwa afu ipigwe ankara ya uwiano.nnahakika nyingi ziliishia mfukoni mwa wajanja na kwa hivyo basi imekula kwake!
BVR!Nimeshangazwa na nilichokiona wakati wa kupewa kitambulisho cha bei mbaya.Ni baada ya ku-scan watu wawili mtambo uligoma.Mhusika mmoja akiwa na nyenzo nzuri tu kiufundi aliifunguwa machine(mimi nimebobea katika fani ya electronics).Alichofanya ni kugusagusa na kuzipapasa waya zilizoko na...
simple arithmetic.masisiem walisha dilute heshima ya ikulu sasa wanona any dick tom and harry anaweza.in so doing lazima kunyanganyana kuwepoSO GOES THE SAYING"THE BASIC HUMAN NATURE IS SELFISHNESS' and that IN THE LAND OF THE BLIND THE ONE EYED MUST BE KINGMPO WATANZANIA WENZANGU ?
Wazungu wana msemo wao "IN WAR NEVER UNDERESTIMATE AN ENEMY"Huyu bw alikuwa na uthubutu wa kumwingia mzee mchonga akamfanyie kampeni(amsafishe)jimboni kwake IN LIEU of kumharibia jina kwenye URAHISI.
Kwa jinsi alivyowekeza hususani jezi za jogging na mapipa ya gongo kwa vijana wetu.Milungula...
ndugu zangu,hapa ndipo sisi watu wa BONGOLALALAND tunapokosea kwa kujifurahisha ati nikosa dogo tu.na haya ndo yaliotufikisha elimu yetu kuwa questionable.kama mwl mmoja akifanikiwa kupotosha vijana 45 waz de end result?ok let's opt 4 kiswahili if we dare!
Kwani uongo?angalia majoka yenye makengeza yanachofanya!ati suti ikafuliwe ulaya badala anunue vifaa vya kufulia si ndoo ufara wenyewe?FOOLS DIE(Mario Puzzo)
Ocampo 4 nimekusoma unaonekana kujuwa mengi lakini unakumbuka nukuu moja ya mwl JK alipokaripia "MTU HUWEZI KUTOA MAAMUZI BAADA YA KUSHAURIWA NA MKEO CHUMBANI"alikuwa anamsema kiongozi mmoja.unamjuwa.sasa kwa hali hiyo haiingii akilini mama Maria akawa na hizo crucial info za serikali au za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.