Recent content by chikombe

  1. C

    Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

    Mimi namkumbuka President Mkapa kwa kurudisha heshima ya watanyakazi Mungu ambariki natuzidi kuomba Mwenyezi Mungu atupatie Rais mchapa kama yeye.
  2. C

    Chadema na cuf nunueni majeneza na sanda...hamtufai Tanzania

    Mkuu umechemsha, jiulize Mtei ni Mkatoliki, Zito na je how about Mbowe na Said Arfi je? Hatukuelewi?
  3. C

    Chadema yatoa tamko kali wakati UVCCM wakizidi kuvurugana

    Hawajatoa tamko kali ila ni utekelezaji wa kawaida wa kazi za chama peoples power
  4. C

    MAKAMBA vs SHY-ROSE UVCCM Dodoma, Kulikoni?

    Shy Rose unang'angania ccm kwa nini usiamie Chadema ili iwe rahisi kwako kuisema ccm na mafisadi wake
  5. C

    Kamati kuu ya CHADEMA yakutana leo kwa dharura

    Ratiba ya awamu ya pili ya maandamano Chadema waikumbuke pia Tabora
  6. C

    Kamati kuu ya CHADEMA yakutana leo kwa dharura

    Chadema endelea kujenga Chama msijali propaganda za mafisadi wa ccm.
  7. C

    Kamati kuu ya CHADEMA yakutana leo kwa dharura

    Mr. Mak ni kama hauna kazi ya kufanya, udini unaoongea uko wapi hapa nchini kwetu mbona Wakristo wamepanga kwenye nyumba za Waislam vivyo hivyo kwa Waislam. Misiba inaudhuria bila kujali imani za kidini. Tazama ilivyo vema na kupendeza Kikwete mwenyewe leo ameudhuria kusimikwa kwa baba Askofu...
  8. C

    Wanaweza???

    Kama Sophia Simba ameweza kwa nini wasiweze
  9. C

    Rombo kama Loliondo!

    Hii ni neema kwa Wakatoliki wote kwani Mungu hapendelei ametoa babu Loliondo kwa walutheri. Na sisi wakatoliki tumshukru Mwenyezi Mungu kwa kutufunulia dawa huko Rombo. Tumsifu Yesu Kristu.
  10. C

    How to use JamiiForums effectively

    Wana JF nijibu jamani?
  11. C

    How to use JamiiForums effectively

    Ndugu wana JF inakuwaje mishahara ya wafanyakazi ilipwe na NMB? Ina maana hazina imefilisika?
Back
Top Bottom