Recent content by Chikolombe

  1. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Simjui yupo kwenye tasisi gani?
  2. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Mkuu nikuwapuuza tu,wengi wakujibu jeuli ni wanao hitaji misaada daily kutoka kwa ndugu zao
  3. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Nizituze na beba kichwani mzigo kama huo? Kwahiyo chuo nilikuambia nimesomea course ya kutuza mzigo? Sio lazima ucomment kila post
  4. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Wewe mwenye akili umetengeneza nini hapa duniani? Usikute hata kula yako ni shida !!!!
  5. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Umri na kupigwa vinahusiana nini?
  6. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Utapeli hata ukiwa na phd unaweza tapeliwa kutokana na mazingira husika
  7. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Nimekupata vinzuri sana mkuu tena sana hakika ni mzoefu wa hizi biashara zinavyo fanyika nashukru kwa mchango wako.e
  8. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Ni 1385 . Jumla samaki walikuwa 2000 laiti wangefika salama faida ingekuwepo mkuu!! Hata ni jumlishe cost zote hasara ingekuwepo kwa sababu hapo kuna samaki wamevunjika pia bei aliyo nunulia kila samaki 650 kwa bei ya jumla 1385*650=900250
  9. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Huo ni mtazamo wako!!! Pia hata hadithi zinafundisha hata kama ni hadithi chukulia ni Hadithi yeye fundisho kwa wengine ila sio kwa wewe mtu makini.
  10. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Mkuu ninacho sema ni kweli pia kama umeamuwa ni support ni support hata kwa mawazo tu ila ukiona kunisupport na pesa pia nitashukru.maana unaweza ona kama nimekuja kuomba pesa kwa watu humu kwenye platform kubwa kama hii
  11. Chikolombe

    Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

    Biashara hizi za sokoni mala nyingi unaweza fanya biashara na mtu ambaye humjui kwa sura ila mizigo anapokea ana uza na pesa anakutumia pia unakuta kuna mmoja ndo anamfahamu huyo mtu ndo anaweza kukuunganisha na wewe ukatuma mzigo akaupokea na akukutumia pesa yako ila utapeli upo!!! Pia kuhusu...
Back
Top Bottom