Mi naona ssi watz ni wepesi wa kusahau na ni watu tusio na mawaz binafsi bali tegemez, ni wakuyuyumba tusiojua tunatak nn..chips kavu 1500,maji nayo juu na bado
Labda ameenda kwa gharama zake au amejaza ile form na imepitishwa au ninlazima aende yye na balozi hawez kumuwakilisha au watoa tunzo wamegharamia hivo tusubir msemaji wa... Atuambie
Mi nimemuelewa mtoa mada,japo nnaukakasi kidogo juu ya hoja yake ila nipo upande wake, kiufupi serikali inataka kujificha nyuma ya shule binafsi ili ionekane inajali elimu kwa ada elekezi, iboreshe shule zake hizo zenyewe zitakufa kifo cha asili kama yalivokufa mashirika ya umma na mengne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.