Epstein alikua jasusi wa Mossad na mission yake ilikua kuwapaka ma dingi woote na wanasiasa wa Marekani, ili yeyote atakaye kua madarakani alafu atoe nywinywinyi, apewe dossier yake, ndio maana Trump hanalakusema kwa Israel na akiambiwa Lamba analamba, mission accomplished!!!