Recent content by chiko

  1. chiko

    Kama Silaha za Nyuklia hazitatumika, kwanini nchi kubwa zinawekeza mabilioni ya dola kutengeneza na kuziboresha kila mara?

    Ukiwa nazo, wewe ni jogoo....waona yule kijana wa North korea, hakuna anaye pita karibu nae........yaaani nikama wewe, uweke AK47 nje ya nyumba yako,utaona hata paka watapita kwa mbaaali!!!
  2. chiko

    Inasadikika Jeffrey Epstein yu hai

    Epstein alikua jasusi wa Mossad na mission yake ilikua kuwapaka ma dingi woote na wanasiasa wa Marekani, ili yeyote atakaye kua madarakani alafu atoe nywinywinyi, apewe dossier yake, ndio maana Trump hanalakusema kwa Israel na akiambiwa Lamba analamba, mission accomplished!!!
  3. chiko

    Nchi nyingi kama Saudi Arabia wanauziwa F-35 copy. Ni Israel pekee anauziwa mashine kamili

    Mwamerika akiuza ndege za kivita, ni kweli hakuuzii complete, kuna kitu kinaitwa AVIONICS, ambayo ndio technology yenye kila kitu kama kujam Radar za ardhini na angani, na maambo mengi sana. Hata Israel pia huwa hauziwi kila kitu, lakini wao huongezea wenyewe. Hata F16 wanazotumia Israel ni...
  4. chiko

    Ipi nafasi ya Tanzania katika mgogoro wa Mashariki mwa Congo (DRC)?

    Mimi nilijua tu, pale wanamchekelea Mzee Trump,kule Washington, eti hoo tumekubaliana hakuna kuendelea na vita Congo................Huyu Kagame, ni mtu hatari saaana kwa Afrika Mashariki!!
  5. chiko

    Unaweza usiamini ila hawa ni viongozi wakubwa Afrika katika benchi wakiwa Marekani

    Haya ni Madharau kwa viongozi wetu, lakini ukiwa omba omba inabidi!!!
  6. chiko

    Penzi la binti mlokole linanitoa jasho

    Nina rafiki yangu mmoja aliangukia moja, mlokole sanaaa, nikajisemea haya nitayaangalia yatakuaje......jamaa akaaanza kubeba biblia mbili mbili, ya kiswahili mkono wa kulia na la kiingereza mkono wa kushoto, masuti kwa sana, mara naona anaanza kukaribishwa kula neno kwa nyumba ya...
  7. chiko

    Ni jambo gani mchumba wako alifanya, ukajua huwezi kumuoa au kuolewa naye

    Tukiwa kwenye romance hivi, kufuli ishafunguliwa na naona kipochi hicho, kinanang'anika si ndo nami natoa magwanda tayari kuchomeka mhugo wa ja'ngome, naambiwa hebu ngoja kwanza...................."wajua mimi niko kwenye mchanganyiko wa mawazo....yaani kuna huyu jamaa ana nafasi yake nzuri na...
  8. chiko

    Trump mbioni kuirudisha kambi ya kijeshi ya Bagram, Taliban wakataa ombi hilo

    Mrusi ndie alienza ngoma na Afghanistan, baada ya kuchemsha akaaondoka kimya kimya, kumbuka CIA wakitumia Osama bin Laden........mrusi alipotoroka ndio akaingia Mwamerika. Ukweli ni kua kuna watu wameweza vita kwa mda mrefu ni hawa jamaa....
  9. chiko

    Trump mbioni kuirudisha kambi ya kijeshi ya Bagram, Taliban wakataa ombi hilo

    Kama alishindwa kwa miaka 20, ataweza sasa................atishe wengine, lakini sio jamaa wa kuvaa Pyjama. Hawa, kufa kwao ni harusi, fikiria walimshinda Mrusi nae Mwamerika akaoga.......hawa ni 'wrong number'
  10. chiko

    Ndoa ya Tiras Muange na Phyllis Mutisya kimeumana, Usaliti madhabauni

    Hapo sijui mimi ndio sijaelewa kinge'nge ama vipi......eti wako Mbooni ?
  11. chiko

    Je ni kweli vinyama vina ladha tofauti au sababu ya wanaume kuendelea kuchepuka ni ipi?

    Hapo umesahau namba SITA 6. ambayo; wanawake usiku na mchana, wanatafuta mitego ya kutega wanaume, kila siku, kuvaa ndivyo sivyo, kuweka vigodoro, kujipaka mkoroge.....ili mradi jamaa waseme, na wakisha topoa, kwishaaa. Ndo maana, inasemekana IBILISI mkuu ni mwanamke!!!
  12. chiko

    Huyu dada kanifedhehesha sana!

    Loooooh hebu jaribu kumuita neautral grounds...........ukiwa mmiliki wa kiwanja atleast utajua utahepa vipi yakikuzidi.....
  13. chiko

    Sikutegemea hakika nimekoma ni majuto 70% furaha 10%

    Mpaka sasa nimeshakula mademu zaidi ya 50+, weeeh wanaume tutafika mbinguni tumechokaaa!!!!!..................
  14. chiko

    Tanzania ilikuwa sahihi kuisadia ANC kuondokana na utawala wa makaburu Afrika Kusini? Tulifaidikaje?

    Nakumbuka mwamba "Che Guevarra" mwanamapinduzi kutoka Colombia, jamaa alipigana Cuba akiwa na Fidel Castro, akapigana mpaka Msumbiji na Angola........yaaani hawa ndio walikua wanamapinduzi wa kweli!, bila kujali atapata nini wala nini, kumbuka huyu bingwa alikua amesomea udaktari, lakini sijui...
  15. chiko

    A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

    Sasa hapo kwa 20s, si ataambiwa amebeba ka "benten", ambapo yeye tayari ni mshangazi!!!
Back
Top Bottom