Ukiwa nazo, wewe ni jogoo....waona yule kijana wa North korea, hakuna anaye pita karibu nae........yaaani nikama wewe, uweke AK47 nje ya nyumba yako,utaona hata paka watapita kwa mbaaali!!!
Epstein alikua jasusi wa Mossad na mission yake ilikua kuwapaka ma dingi woote na wanasiasa wa Marekani, ili yeyote atakaye kua madarakani alafu atoe nywinywinyi, apewe dossier yake, ndio maana Trump hanalakusema kwa Israel na akiambiwa Lamba analamba, mission accomplished!!!
Mwamerika akiuza ndege za kivita, ni kweli hakuuzii complete, kuna kitu kinaitwa AVIONICS, ambayo ndio technology yenye kila kitu kama kujam Radar za ardhini na angani, na maambo mengi sana. Hata Israel pia huwa hauziwi kila kitu, lakini wao huongezea wenyewe. Hata F16 wanazotumia Israel ni...
Mimi nilijua tu, pale wanamchekelea Mzee Trump,kule Washington, eti hoo tumekubaliana hakuna kuendelea na vita Congo................Huyu Kagame, ni mtu hatari saaana kwa Afrika Mashariki!!
Nina rafiki yangu mmoja aliangukia moja, mlokole sanaaa, nikajisemea haya nitayaangalia yatakuaje......jamaa akaaanza kubeba biblia mbili mbili, ya kiswahili mkono wa kulia na la kiingereza mkono wa kushoto, masuti kwa sana, mara naona anaanza kukaribishwa kula neno kwa nyumba ya...
Tukiwa kwenye romance hivi, kufuli ishafunguliwa na naona kipochi hicho, kinanang'anika si ndo nami natoa magwanda tayari kuchomeka mhugo wa ja'ngome, naambiwa hebu ngoja kwanza...................."wajua mimi niko kwenye mchanganyiko wa mawazo....yaani kuna huyu jamaa ana nafasi yake nzuri na...
Mrusi ndie alienza ngoma na Afghanistan, baada ya kuchemsha akaaondoka kimya kimya, kumbuka CIA wakitumia Osama bin Laden........mrusi alipotoroka ndio akaingia Mwamerika.
Ukweli ni kua kuna watu wameweza vita kwa mda mrefu ni hawa jamaa....
Kama alishindwa kwa miaka 20, ataweza sasa................atishe wengine, lakini sio jamaa wa kuvaa Pyjama.
Hawa, kufa kwao ni harusi, fikiria walimshinda Mrusi nae Mwamerika akaoga.......hawa ni 'wrong number'
Hapo umesahau namba SITA 6. ambayo; wanawake usiku na mchana, wanatafuta mitego ya kutega wanaume, kila siku, kuvaa ndivyo sivyo, kuweka vigodoro, kujipaka mkoroge.....ili mradi jamaa waseme, na wakisha topoa, kwishaaa.
Ndo maana, inasemekana IBILISI mkuu ni mwanamke!!!
Nakumbuka mwamba "Che Guevarra" mwanamapinduzi kutoka Colombia, jamaa alipigana Cuba akiwa na Fidel Castro, akapigana mpaka Msumbiji na Angola........yaaani hawa ndio walikua wanamapinduzi wa kweli!, bila kujali atapata nini wala nini, kumbuka huyu bingwa alikua amesomea udaktari, lakini sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.