Wakuu, nina diploma ya uhasibu, niliwahi kufanya kazi katika SACCO moja huko jijini mbeya kama teller, front office personel na loan officer ila kutokana na sababu za kifamilia zilizoshindwa kuzuilika kwa wakati huo nikasimama kufanya kazi.
Nina ujuzi na uzoefu pia katika,
.ms word
.ms excel...