Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
Hili sasa ndo tangazo LA kusaka mchuchu limekamilika...kila laheriii
Na mimi nataka nikuowe.
Hili sasa ndo tangazo LA kusaka mchuchu limekamilika...kila laheriii
Na mimi nataka nikuowe.
Mkuu unaowa mwanamke wa miaka 27-30?? Hao ni wazee achana na😵wa wa miaka 18-24.
mimi hapa
-nina umri wa miaka 32.
-ni mkristu mkatoliki
-ni muajiriwa wa kampuni fulani ya madawa ya mifugo na kilimo.
-nipo morogoro mjini.
-nina ufupi wa sm 158 na ni mnene kiasi.
-ni mweusi ila si sana
NINATAFUTA MSICHANA WA KUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO.
-awe mkristu mkatoliki
-awe na umri wa kati ya miaka 25-30
-awe anayejitambua na mchapakazi mwenye kujituma pasipo kusimamiwa.
-awe tayari kufunga ndoa mapema iwezekanavyo na kuishi popote tanzania.
-awe mweusi au maji ya kunde na kama ni mweupe awe wa asili(asiwe wa kujichubua)
KWA YEYOTE ALIYE TAYARI TUWASILIANE KWA PM.
mkwe karibu kwangu ninaye mrembo mmoja atakufaa
hili sasa ndo tangazo la kusaka mchuchu limekamilika...kila laheriii
Mbona nakufaham vizuri sana wewe