Recent content by CHiKANTA

  1. CHiKANTA

    Msaada wa kisheria: Dada yangu katapeliwa nyumba Dodoma

    Mali za marehemu usinunuwe bila mirathi.labla kwa ushauri Leo nipo Dodoma nitafute 0677148897
  2. CHiKANTA

    The Law School of Tanzania - Maswali na majibu

    Sect 8 Adv Act,sect 39 imeeleza utaratibu.Practice for 5 yrs in Zanzibar or CJ anamamlaka ya kukuruhusu kupractice bara kama utaomba na akiona inafaa.
  3. CHiKANTA

    Naomba kujuzwa: Kwanini hukumu katika mahakama zinatolewa kwa Kiingereza tu?

    Sheria inataka hivyo lakini siyo zote kuanzia Mahakama ya Wilaya kwenda juu
  4. CHiKANTA

    Msaada wa kisheria, ananisingizia mtoto

    Nenda mahakamani kisha itatoa amri ipimwe DNA
  5. CHiKANTA

    Mke anataka kuondoka, bila kufukuzwa..kuna umuhimu wakugawana mali

    Mali hazigawanywi mpaka kuwe na divorce na mahakama ndiyo inagawa
  6. CHiKANTA

    Unaweza kuingia mkataba wa milioni 50 Kwa kutumia business name?

    Vicin nahitaji legal answer ,that's why nimeuliza humu
  7. CHiKANTA

    Utaratibu wa kuahirisha kesi ukoje

    Hapo ushaidi bado Mara ngapi,mmekwenda court? Tumia harbes corpus
  8. CHiKANTA

    Unaweza kuingia mkataba wa milioni 50 Kwa kutumia business name?

    Kwa mfano nimesajili business name nataka kuchukua tenda ya kusupply Vitabu shule za msingi ,amount tendered mil 50, nitakuwa na capacity ya kuomba hiyo bid?
  9. CHiKANTA

    Unaweza kuingia mkataba wa milioni 50 Kwa kutumia business name?

    Unaweza kuingia mkataba wa mil 50 Kwa kutumia business name?
  10. CHiKANTA

    Kwa yeyote mwenye shida ya sheria za kazi

    Naomba kujua taratibu za kujisajiri kufanya bar exams Zanziber
  11. CHiKANTA

    Msaada wa kisheria tafadhali

    Naomba GN no.106 ya 2007
  12. CHiKANTA

    Gn no.106 of 2007

    Naomba please
  13. CHiKANTA

    Gn no.106 of 2007

    Naomba please
Back
Top Bottom