Habari
Mi mkazi wa mshangano manispaa ya songea tatizo langu ni kuhusu kuingiziwa umeme process zote nimeshamaliza ambapo mpaka wapimaji washapima inahitajika nguzo moja.
Swali langu je Mimi nitahudumiwa lini maana naona muda unapita tu ila naona majirani wanaingiziwa umeme( wa ndani ya mita...
Fafanua Basi hizo awamu inakuwaje ili sisi wengine wa kuunga unga Kama tuna laki mbili tunaweka moja pia tunaweka ili Kama ni ndani ya miezi 3 mtu unamaliza na umeme unakula mi Nina uhitaji huo ila Nina laki 320000/=
Kinachonishinda ni laki 2 za nguzo
So kwa awamu Kama inawezekana nisaidie...
Sasa jamani tanesco vipi mbona kimya mafundi wamekuja juzi wameangalia wamesema wanatoa taarifa kitengo Cha mita baadaa ya hapo kimyaaa hata kuambiwa lini nitawasha taa dah naomba msaada basi hiyo mita nibadilishiwe mapema maana nakata wiki Sasa sina umemee
Mita 43002355196
Songea mjini
Kata...
Habari
Naomba kusaidiwa katika mita namba 43002355196 Kuna baadhi ya namba katika mita hazifanyi kazi na hivyo kufanya kazi ya kuingiza umeme wa luku kuwa ngumu kila nikijaribu ninakaa na giza siku ya nne leo
Nipo
Mkoa wa ruvuma
songea mjini
Kata msamala
Mtaa ostabey
Karibu na office ya...
Jamani tanesco vipi mbona nimejaza form wiki nne zimepita Sasa na mkandarasi asharudisha form huko ofisini kwenu Sasa hizo gharama mtanijulisha lini Mimi nipo songea manispaaa kata mshangano block namba b karibu na godown la chimgege jamani nisaidieni au mnataka hela niimalizee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.