Recent content by chigoko

  1. chigoko

    JamiiForums Tanzania Utakatishaji pesa siku hizi unafanyika hadharani mbele ya vyombo vya habari

    Daaah umetufumbua macho mzee
  2. chigoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijawahi kwenda ugenini/safari yeyote halafu nitoke sijalala na mwanamke.

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe jinsia gan mbona km unatuchanganya Lovely Emmy
  3. chigoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeamini kondomu haileti ladha yoyote ya tendo

    Hiyo kitu km haujazoea n noma sana wakat nipo chuon nlipga kademu mpaka kakanisukuma maana yeye kachoka lakn mm sisikii kitu chochote ucku kucha lakn hamna ktu mpk mbupu zikaanza kuuma kwa kupga pump kwa nguvu ili nkojoe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  4. chigoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tendo la ndoa sio kwa starehe

    Acha mambo yako makahaba walianza miaka hiyo tangu za Bwana Yesu huko unataka kusema walikua wanawatumia kwa ajili ya kutengeneza watoto??? na hawakuwa na uzazi wa mpango Wala vitu hvyo ulvyosema ... Tendo la ndoa n Ibada kwa walio na ndoa wasio na ndoa ni dhambi km dhambi nyingine
  5. chigoko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanachukua muda kuita watu kwenye usaili LGs na MDs?

    Mwenye kujua au connection na watu wanaweza kufuta vyeti ktk ajira portal namuomba tuyajenge
  6. chigoko

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Crown Media wachukuliwe hatua kali kwa kuruhusu Watoto Wadogo kuhudhuria Tamasha la Usiku la Mwenge, Rufiji

    1.crown waliwaita hao watoto..? 2.hao watoto hawana wazazi ..? 3.rufiji hakuna serikali au watu wanaojua kuwa watoto hawaruhusiwi kwenye matamasha ya usiku..?
  7. chigoko

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: TRC imepata Hasara ya shilingi Bilioni 224. Ni Mara 2 ya mwaka uliopita

    Siyo Hilo tu mashirika yote tena yameongeza hasara sasa hv Kila mwaka wanaongeza hasara Hela zetu zinapotea tu Kwa maana nyingine hao walioko kwenye vitengo wanatakiwa wapishe watu wengine wafanye hizo kazi
  8. chigoko

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa kaibiwa simu Kariakoo halafu kwenye laini yake ya Yas mixx kulikuwa na milioni 5, wameiba zote

    Wanacheza na freelancers kupata NIDA number then wanapga huduma kwa wateja kureset PIN ya kutolea sababu taarifa zote atakazoulizwa tayar anakua nazo ni rahisi hvyo
  9. chigoko

    JamiiForums Tanzania Wafahamu wanaoshindana na Profesa Janabi katika nafasi yake ya Ukurugenzi wa WHO Africa

    Kwan ww unachukuliaje Janab maana ni km umemshusha vyeo kwa hao watu hapo
  10. chigoko

    JamiiForums Tanzania Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Mbona hiyo n kawaida wao ndio walitakiwa wajue kiswahili km wanakuja kujifunza kwetu mbona sisi tunapoenda kwao tunaanza kujifunza lugha yao kwanza
  11. chigoko

    JamiiForums Tanzania Dereva wa Mamlaka ya Bandari na wenzake wafikishwa Kizimbani kwa Wizi wa Mafuta lita Milioni 9

    Daaah.. Safi sana wajomba ukiona tundu toboa mengine yatakuja mbele huko mbona wao wanapga mahela mengi kwa mikataba ambayo haieleweki na mtatoka tu wajomba maana waliowashtaki nao wezi wanaitaman hela hiyo hiyo mgawane
  12. chigoko

    JamiiForums Tanzania Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

    Haiwez kuwa sawa kulingana na power ya hizo engine ya V8 ina nguvu kubwa msukumo mkubwa kuliko Passo pamoja na ukubwa wa tairi hiyo n fact nyingine tena ndio maana mwenye bus kubwa akitembea 120 wewe mwenye gari ndogo kumshika mpaka ukanyage 150 kuendelea kutokana na gari yako. Iliwahi...
  13. chigoko

    JamiiForums Tanzania Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

    Ndio maana wataifa makubwa yanatuambia kitu pekee tulichokishika waafrika ni dini kuliko hata wao wenyewe waliotuletea dini hizo ukiangalia Elimu yetu shida, Afya shida, Miundo mbinu shida, Uongozi shida kila kitu kwetu ni balaa lakini kushika na kutetea hizi dini za kuletwa kwa njia ya maji...
  14. chigoko

    JamiiForums Tanzania Tuliombe Jeshi la Polisi kuzuia mkutano huu wa TLS hapa Ubungo Plaza kuhusu watu waliopotea

    Wewe jamaa mbona km unaleta uchochez usio na maana, taadifa yako inasema mkutano wa TLS na waandishi wa habari wa ndani na nje wakat TLS wenyewe wanasema mkutano wa wananchi kujadili na kutoa suluhisho juu ya Raia Tz
Back
Top Bottom