Labda hufahamu kuwa kesi ile ni ya Jamuhuri hivyo mtu binafsi hawezi kukata rufaa. Ukakasi upo ktk hukumu ile, bila shaka upande wa mashitaka (Jamuhuri) na upande wa utetezi (serikali) wamepika hiyo hukumu. Ndio matunda ya kesi ya nyani inapoamuliwa Ngedere!
"Nasema kwa dhati kabisa, Mheshimiwa mwenyekiti mstaafu, kuwa huo moyo wa uvumilivu ulionao, sidhani kama mimi ninao" Jpm
"Nakumbuka siku ile wanaimba eti wana imani na mtu fulani, ningekuwa mimi ndio mwenyekiti, robo au nusu wangepotea"
"Nawaomba sana ndugu wajumbe, mniombee nipate angalau...
Nafikiri maneno haya ungemwambia Mkapa maana hajui siasa za ushindani ndio sababu akawatusi wanaume wa Lindi kwa kuwaambia "kama mnataka mabadiliko bebeni mimba" kisa hawakuujaza mkutano wa Ccm Lindi. Awali aliwaita waTanzania wataka mabadiliko "malofa na wapumbavu" kwa ushahidi huu nani...
Haya maneno ya "upinzani bado sana" tumekuwa tukiyasikia kwa karibu miaka 30 sasa, kinachoshangaza pamoja na kukosa kwao utayari lakini wanaongeza viti bungeni[emoji4][emoji4][emoji4]. Na kama ktk uchanga wao huu watawala wanawaogopa kwa kuwazuia wasiandamane wala wasikutane na wananchi ktk...
Mimi naomba mtu yeyote anioneshe video ya mashabiki wa Liverpool wakiishangilia Man United ikicheza na Juventus, eti tu kwa kuwa Man United ni waingereza wenzao! Never ever! Na sababu kubwa ya wawili hao kuombeana mabaya ni kuwa mmoja wao akishinda humtambia mwenzie. Hata hapa kwetu Yanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.